Kuna wanawake hawapendeki hata uwafanyie nini

Kuna wanawake hawapendeki hata uwafanyie nini

Mkuu Mimi Niko na wewe mpaka mama J akuue ama kwa mawazo, stroke, kisukari, pressure au akufanye uwe mental kbsa, Ujue Kuna Wakati huwa ninahisi ata wewe una maisha ya uswahili sana, tofauti na hapo Kuna kitu unafaidika nacho kwa huyo mwanamke japo kwa Siri sanaaa
Ha ha ha..... kweli kipo nnachofaidika nae,ana kijiupepo flan hivi kinavuma POA kwenye mishe zangu[emoji4]
 
Haitoshi pia anawapigia rafiki zako wa karibu sn kuwajulisha kua mmeshaachana sababu umemchanganya yeye na shoga Yake, Wewe ni mtu mbaya sana.

Haishii hapo anapeleka taarifa hizo kwa bwana ake na uyo shoga yake kua unatembea na mchumba wake, jamaa asivyo na ustaarabu Wala busara anakuja kichwa kichwa Bila ushahidi wowote, mtu anakuletea shutuma za kutembea na mchumba wake ila hakusikilizi Japo kidg, MDA wote anataka aongee yeye tu peke yake.

Unaona kumbe huyu jamaa nae mpuuzi, kaja kwa Shari,tayar ameshasadiki Maneno yote ya uwongo aliyolishwa uko na uyo mwanamke, hata hajui chanzo Ni nini,anakurupuka na hataki kueleweshwa.Basi mnazinguana ile mbaya liwalo na liwe. Hakuna hata kusalimiana,kila mtu kivyake.

Baada ya yote hayo alokufanyia na kukuchafua kote huko, umemkalia kimya TU, haipiti wiki anaomba tena mrudiane muanze upya,kakosea sn,yeye bado anakupenda Sana hawezi kuishi Bila Wewe.

Wakuu hivi mwanamke wa hivi unamuelewaje?[emoji848]View attachment 2625104View attachment 2625105View attachment 2625106View attachment 2625107View attachment 2625108View attachment 2625109View attachment 2625110
Sema hizo sms ni comedy tosha
 
Baadae anatumia namba ngeni unapokea kumbe ni yeye, anasema kaazima Simu ya shoga yake,mbona upokei sim zake, anaomba msamaha kwa kauli alizotoa muanze upya. Unasema sawa haina shida.

Kisha anasema vp sasa khs Ela ya kula unatuma? Unamuuliza Inamaana umeniomba msamaha ili upewe Ela ya kula au vipi? Anajibu hapana, msamaha wangu namaanisha. Unamwambia basi Kama unamaanisha jibebe mwnyw kwa Siku zilizobaki kwa mshahara na posho unazolipwa kazin kwako kila siku mpk nikisharudi.

Anadai haiwezekani kujibeba hata akiba ya Mia mbovu ndani hana,atalala njaa. Unamuuliza mshahara na posho za kazin kwake miaka 3 yote kazini anapelekaga wapi Kama anakosa hata Ela ya kujigharamia chakula kwa Siku chache hizi nilizosafiri.

Inamaana unakazi,ila Siku nisipoacha Ela ya kula wewe unakufa njaa? Anakujibu kwamba Wewe Ni mwanaume wangu, posho na mshahara wangu havikuhusu,timiza wajibu wako Kama wanaume wenzio, usitake mtelezo kupitia jasho langu.
Hahaha! Huyu ni mke au hawara yako??
 
Unagundua kumbe huyu mwanamke Ni mpuuzi,yaani kutumia posho au mshahara wake kujigharamia kula yake mwnyw, kwa afya Yake mwnyw, bado anaona Kama hasara kiuchumi kwake na ananitolea Maneno ya shombo hivi.

Anyway, Basi unamwambia "POA nasign out, wee njaa ikizd sn utatoa Ela yako ujinunulie chakula ule, ikishindikana kujinunulia nikirudi nikute turubai la msiba hapa nyumbani kwako, umekufa kwa njaa". Anakujibu "UTAJUA MWENYEWE, mwanaume una roho mbaya Sana wewe" unakata Simu na kuendelea na shughuli zako.

MDA Si mrefu tangu ukate Simu,
Unapokea sms za shombo akidai anajuta kukufahamu na kua na Wewe kwny mahusiano,wewe ni mwanaume mchoyo usiemjali kwa chochote kile tangu amekujua, unajali familia yako tu, hata akifa kwa njaa kwako ni sawa TU.

Inabd umpigie kutaka Ufafanuzi wa kauli ya "usiyemjali kwa chochote kile tangu amekujua" imemponyoka au Yuko serious na anachosema?. Anakujibu kwamba "ndio am serious,unadhani hivyo vi elfu tano tano vyako unavyotoa nawe utajiita mwanaume Kati ya wanaume wanaojua kupenda na kujali wanawake wao?"

Ukiwa bado unaitafakari hiyo kauli ya fedhea,anaongezea kauli nyingine ya kuudhi "Wee Kama Huwezi kunihudumia,Toa go ahead uone jins gan wanaume wenzako wanavojua kuhudumia wanawake wao". Unamjibu kwa kifupi sana "poa,Go ahead"
Mkuu si ubaki njia kuu tu. Huyo mwehu wa nini ilhali unae mke mzuri? Peleka hayo matunzo kwa mkeo ili wanao wanufaike kuliko kupeleka kwa makahaba na wadangaji wasiokuwa na shukran
 
Hivi deep una mke kweli? Kama unae unampenda? Ushawahi kuiwaza familia yako hata kidogo? Au unamuonaga kama mwanasesere tu anaekulelea watoto? You act so immature braza. All the time ni Majay this Majay that. Ni k**@ tu bro ama nini??

Mbaya zaidi wewe ni mwanaume, lakini msimamo huna. Anakuendesha, anakupelekesha lakini wapi umemganda kama ruba! Hivi value gani utawapa watoto wako wa kiume kama unao? Mkeo alikupelekesha ukaonesha msimamo akanyooka lakini huyu kila siku anakunyoosha ila wapi baba!! In the name of pleasure!!

You are wasting your life deep. Anyways kupanga ni kuchagua. Ila one prayer of mine: Hope usifikie mahali ukawa too LATE. Utajilaani sana..utajilaumu SANA.
Limbwata is real madam!!!
 
Haitoshi pia anawapigia rafiki zako wa karibu sn kuwajulisha kua mmeshaachana sababu umemchanganya yeye na shoga Yake, Wewe ni mtu mbaya sana.

Haishii hapo anapeleka taarifa hizo kwa bwana ake na uyo shoga yake kua unatembea na mchumba wake, jamaa asivyo na ustaarabu Wala busara anakuja kichwa kichwa Bila ushahidi wowote, mtu anakuletea shutuma za kutembea na mchumba wake ila hakusikilizi Japo kidg, MDA wote anataka aongee yeye tu peke yake.

Unaona kumbe huyu jamaa nae mpuuzi, kaja kwa Shari,tayar ameshasadiki Maneno yote ya uwongo aliyolishwa uko na uyo mwanamke, hata hajui chanzo Ni nini,anakurupuka na hataki kueleweshwa.Basi mnazinguana ile mbaya liwalo na liwe. Hakuna hata kusalimiana,kila mtu kivyake.

Baada ya yote hayo alokufanyia na kukuchafua kote huko, umemkalia kimya TU, haipiti wiki anaomba tena mrudiane muanze upya,kakosea sn,yeye bado anakupenda Sana hawezi kuishi Bila Wewe.

Wakuu hivi mwanamke wa hivi unamuelewaje?[emoji848]View attachment 2625104View attachment 2625105View attachment 2625106View attachment 2625107View attachment 2625108View attachment 2625109View attachment 2625110
Kama ni mke.. BASI umeoa chizi... Kama sio mke... Shida unaikumbatia mwenyewe..... Piga chini kichaa huyo... Na pia (KWa sauti ya kinyakyusa hapa) koma kuwekeza KWa mchumba! Tena koma kuwekeza KWa mchumbaa! Tena komaaa kuwekeza KWa mchumbaa!!.
 
Back
Top Bottom