Tuishi nao kwa akili mkuukAbisaa ndugu yangu balaa tupu
Kila dakika uwe unabembeleza nakuapa kwa mwanamke kisa kupate assurance ya unako endako.......kuna wanawake mpaka anakukera kila dakika anawaza kusalitiwa kwanini uwe negative kila siku.Na hapo wanaume ndo mnapofeli,
Huyu mwanamke wako ana insecurities,wewe umemuaga unaenda sehemu ila yeye anawaza unaenda kwa mchepuko
Ulichotakiwa kufanya ni kumbembeleza kirafiki na kuwa positive about sehemu unayoenda na wakati wa kutoka unamwachia mabusu kedekede,hakika utaona atakusubiri urudi hata kama saa 6 usiku as long as ulimwacha with a positive mind!
Wanawake wengi huwa tunataka tu assurance ya maneno hata kama mnadanganya ila assurance ya maneno ni tiba tosha kwetu!
Ushawahi sikiliza wimbo wa davido assurance?hiko ndo unamiss sasa mtoa mada,
Ukiona mwanamke wako hakuamini cheki matendo yako,Kila dakika uwe unabembeleza nakuapa kwa mwanamke kisa kupate assurance ya unako endako.......kuna wanawake mpaka anakukera kila dakika anawaza kusalitiwa kwanini uwe negative kila siku.
Matendo yapi tena wakati hakujui na unashinda kazini, kuna wanawake wengine wana gubu na visirani endelevu.Ukiona mwanamke wako hakuamini cheki matendo yako,
Usikariri,just play your part as a gentleman japo sikatai wapo wanawake wenye gubu ila walio wengi hilo gubu linatengenezwa na wanaume zaoMatendo yapi tena wakati hakujui na unashinda kazini, kuna wanawake wengine wana gubu na visirani endelevu.
Endeleeni kuteseka mpakq kiama tushasema ndoa na kuoa vyote ni upumbavu mtupu na ni hasarq kubwa kwa jamii na taifaYan mda wote anataka akuone ndani Kama msukule vile, wanawake nani aliewadanganya kuwa mwanaume anachungwa kama mbuzi?
Nimeaga nna appointment na wanachama wenzangu imekuwa nongwa, kavuta mdomo balaa.
Ukitoa taarifa tabu, usipotoa taarifa ndo Vita kabisa ya urusi na Ukraine dah.
No body is perfect but women this is too much (Nlikuwa Sina ratiba ya kunywa ila imebd nipashe bia mbili tatu huku wimbo wa harmonize am single again unapigwa kwa club)