OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kuna wanawake ukiwaomba gegedo wanakaa kimya tu, kwa nini asijibu NDIYO au HAPANA?
Silence means YES or NO unabaki huelewi.
Labda anatengeneza mazingira aendelee kukuchuna? Labda bado hajafanya maamuzi? Kwanini sasa asiweke wazi yote hayo.
Talking from my experience. Nikimtumia sms tu kumuomba gegedo anakaa kimya. Nikimpigia simu akihisi nataka kuomba, ananiambia baadae. Nikimuuliza mambo mengine anajibu. Sometimes nafuta namba yake zikipita siku mbili tatu ananitafuta.
Nabaki najiuliza huyu manzi anataka nini. Mimi siwezi unafiki na dada na kaka sijui best friend.
Silence means YES or NO unabaki huelewi.
Labda anatengeneza mazingira aendelee kukuchuna? Labda bado hajafanya maamuzi? Kwanini sasa asiweke wazi yote hayo.
Talking from my experience. Nikimtumia sms tu kumuomba gegedo anakaa kimya. Nikimpigia simu akihisi nataka kuomba, ananiambia baadae. Nikimuuliza mambo mengine anajibu. Sometimes nafuta namba yake zikipita siku mbili tatu ananitafuta.
Nabaki najiuliza huyu manzi anataka nini. Mimi siwezi unafiki na dada na kaka sijui best friend.