Kuna wanawake ukiwatongoza wanakaa kimya tu. Kwanini wasijibu Ndiyo au Hapana?

Kuna wanawake ukiwatongoza wanakaa kimya tu. Kwanini wasijibu Ndiyo au Hapana?

Huyo sio kwamba hakupendi ila kuna vitu vinampa mashaka
Kwanza Umri wake ni mdogo au anachukulia mahusiano serious na wakati wewe ni mpitaji
Kama unausafiri(gari) mchukue kwa mazungumzo then moeleke sehemu iliyotulia halafu test, ukiona ana respond chukua chumba maliza ila kama akizingua basi ndio itakuwa mwisho wa kupigwa mizinga
 
Huyo sio kwamba hakupendi ila kuna vitu vinampa mashaka
Kwanza Umri wake ni mdogo au anachukulia mahusiano serious na wakati wewe ni mpitaji
Kama unausafiri(gari) mchukue kwa mazungumzo then moeleke sehemu iliyotulia halafu test, ukiona ana respond chukua chumba maliza ila kama akizingua basi ndio itakuwa mwisho wa kupigwa mizinga
Huu ushauri ni mzuri.

Binafsi mambo ya kuomba mzigo nilishaacha miaka mingi sana. Nikishachati na demu siku 2-3 kifuatacho ni outing. Tena siombi, namwambia tu "jioni nataka nikale samaki choma, nikupitie..?" Asilimia 90 lazma atakubali unless kuwe na tatizo au awe hayuko interested. Akishakubali hapo mengine ni kujiongeza tuu mwisho wa siku mzigo huu hapa.
 
Kuna wanawake ukiwaomba gegedo wanakaa kimya tu, kwa nini asijibu NDIYO au HAPANA?

Silence means YES or NO unabaki huelewi.
Labda anatengeneza mazingira aendelee kukuchuna? Labda bado hajafanya maamuzi? Kwanini sasa asiweke wazi yote hayo.

Talking from my experience. Nikimtumia sms tu kumuomba gegedo anakaa kimya. Nikimpigia simu akihisi nataka kuomba, ananiambia baadae. Nikimuuliza mambo mengine anajibu. Sometimes nafuta namba yake zikipita siku mbili tatu ananitafuta.

Nabaki najiuliza huyu manzi anataka nini. Mimi siwezi unafiki na dada na kaka sijui best friend.
Mtimbie usiku kama mlinzi wa Warere alivyomtimbia Zainabu
 
Anakuweka akiba huyo. Hataki kukukatalia moja kwa moja maana anajua una ka umuhimu kako kwake ila sio kakubwa kiasi cha kukupa mbwinya kiholela.

So you need to up your game. Kutoka kutuma msg za kuomba papa mpaka kutuma msg za miamala. Hapo utajibiwa kwa vitendo kwa kuletewa mzigo mlangoni kwako.
[emoji23][emoji23][emoji23] umeiandika kikamanda sana!
 
Kuna wanawake ukiwaomba gegedo wanakaa kimya tu, kwa nini asijibu NDIYO au HAPANA?

Silence means YES or NO unabaki huelewi.
Labda anatengeneza mazingira aendelee kukuchuna? Labda bado hajafanya maamuzi? Kwanini sasa asiweke wazi yote hayo.

Talking from my experience. Nikimtumia sms tu kumuomba gegedo anakaa kimya. Nikimpigia simu akihisi nataka kuomba, ananiambia baadae. Nikimuuliza mambo mengine anajibu. Sometimes nafuta namba yake zikipita siku mbili tatu ananitafuta.

Nabaki najiuliza huyu manzi anataka nini. Mimi siwezi unafiki na dada na kaka sijui best friend.
Tulishakubaliana, usipomwelewa mpenzi wako, mgawie mwinzio.

Nigawie mimi nikutafutie majibu.
 
It is too low for you to consider everything seriously . This is merely a social media, we cant devote all time talking of politics and economic issues.

That's JF Owners segment various modules to suit all matters.

So, you and your post, you are all stupid as you want me to discuss Katiba issues in MMU
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata mimi nikileta nyuzi za mapenzi za chai wananisakama hivihivi!
 
Anakuweka akiba huyo. Hataki kukukatalia moja kwa moja maana anajua una ka umuhimu kako kwake ila sio kakubwa kiasi cha kukupa mbwinya kiholela.

So you need to up your game. Kutoka kutuma msg za kuomba papa mpaka kutuma msg za miamala. Hapo utajibiwa kwa vitendo kwa kuletewa mzigo mlangoni kwako.
JF haiishi vituko vyake [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bila shaka umeshapata majibu kutoka kwa walengwa! Uzi ufungwe! Pia nami nimejifunza kitu!!
 
Hajajua akuweke fungu lipi


Kiufupi swaga zako bado zinamfanya asite
 
Back
Top Bottom