Kuna wanawake wana bahati na nyota ya pesa

we jamaa ni mzembe sana, kama umekutana nae ukapiga mamilioni na tena na tena halafu bado hadi leo hujafanya lolote la msingi kuweza kusimama mwenyewe wewe nimzembe sanaa..tena ushajua jitu lenye ni mauzauza tu, bado kuna unachokitaka huko endlea kumtafuta
 
Utapigwa risasi bwege wewe, hujui siri za matajiri, wako serious na pesa.
 
Naomba namba zake
 
nenda Nairobi na huko South ukamtafute, yaani mamilioni unatumia ndani ya miezi 6 yameisha? wakati mwingine kumbuka kuwa utamu wa pipi ni mate yako
hivi ile thread yako ya k***mba majini iliishia wapi mkuu?
 
Mwanangu anza kufanya mazoezi ya kuishi kama msukule ili ukipelekwa una na uzoefu toka uraiani
 
Naomba nichangie kufuatana na heading zaidi... Kuna ukweli mwingi kwenye kichwa cha habari ila iko hivi
Hao wanawake hawana bahati ya kuolewa ama kupata wapenzi wenye mapenzi ya kweli.. Wao huishia kutumika tu..
Kila mwanaume anayempata, mambo huwa safi kwa mwanaume hata wengine kufikia kujenga nyumba na kufanya uwekezaji
Tatizo huanza kwa mwanaume kuanza dharau na kuwa malaya sana.... Binti wa watu huishia kulia na Maumivu kisha baada ya muda hupata mwingine na kuanza upya
Huyu mwanaume haimchukui muda kugundua kuwa kapoteza mgodi hivyo hutaka kumtafuta tena mwanamke ila si kimapenzi bali kumtumia tu ili mambo yanyooke
Nina mifano hai mpaka hapa JF
 
tufungue kuhusu yajiriyo kwa mleta mada...halafu huyu mleta mada hii avatar anayotumia ni ya nani? sio Jesca kweli huyu? Tumsifu yesu kristu
Mungu wangu ndio yeye J aisee....vitu vingine sio vya ku entertain
 
Ulipata mamilioni halafu ukaendelea kuuza genge,,,,,,


Waache wenye akili za uwekezaji wapewe hiyo bahati pia.

 
Una zaidi ya miaka 20 nae? Ina maana mlianza tombana na miaka mingap? Au jamaa u babu
 
ipo siku watakufungia kwenye chumba kisicho funguliwa na kulishwa unga uliokorogwa kwenye maji kila siku ndipo utamkumbuka mshana jr angekuepo kukupa mautundu ya kujitoa humo na itakua toooooooo leeeetiii

Wasiojulikana πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…