Si watakuwa wanatendewa wao, kwani yeye?Ulaaniwe sana kwa kuufanya moyo wa binti wa watu kitega uchumi.
Mkeo pamoja na wanao wa kike wakatendewe vivyo hivyo usipobadilisha akili yako ya kipumbavu
Naomba huo mfano wa hapa jf mkuuNaomba nichangie kufuatana na heading zaidi... Kuna ukweli mwingi kwenye kichwa cha habari ila iko hivi
Hao wanawake hawana bahati ya kuolewa ama kupata wapenzi wenye mapenzi ya kweli.. Wao huishia kutumika tu..
Kila mwanaume anayempata, mambo huwa safi kwa mwanaume hata wengine kufikia kujenga nyumba na kufanya uwekezaji
Tatizo huanza kwa mwanaume kuanza dharau na kuwa malaya sana.... Binti wa watu huishia kulia na Maumivu kisha baada ya muda hupata mwingine na kuanza upya
Huyu mwanaume haimchukui muda kugundua kuwa kapoteza mgodi hivyo hutaka kumtafuta tena mwanamke ila si kimapenzi bali kumtumia tu ili mambo yanyooke
Nina mifano hai mpaka hapa JF
Sina kibali cha wahusikaNaomba huo mfano wa hapa jf mkuu
Nithibitishe nn sasaThibitisha.
ULichokisemaNithibitishe nn sasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ipo siku watakufungia kwenye chumba kisicho funguliwa na kulishwa unga uliokorogwa kwenye maji kila siku ndipo utamkumbuka mshana jr angekuepo kukupa mautundu ya kujitoa humo na itakua toooooooo leeeetiii
Sujakuelewa kabisahasa wenye ndevu nao nyota zao zinanga'a sana. Kuna mzee alishanidokeza kuwa ukitaka mafanikio tafuta mchmba/mke mnaofuatana majina mfano kama wewe jina linaanza na A basi yeye A-D, X iendane na YZ....kupata ukweli jitathmini kwenye uhusiano uliopo na mafanikio yako hala tafuta na mfano kwa ndugu cc Mshana jr. sijavuta tangia asubui.....
[emoji15] avatar imefanyeje mkuuNimeona avatar tu [emoji124][emoji124][emoji124]
Mbona Mimi naanzia O na yeye I....hasa wenye ndevu nao nyota zao zinanga'a sana. Kuna mzee alishanidokeza kuwa ukitaka mafanikio tafuta mchmba/mke mnaofuatana majina mfano kama wewe jina linaanza na A basi yeye A-D, X iendane na YZ....kupata ukweli jitathmini kwenye uhusiano uliopo na mafanikio yako hala tafuta na mfano kwa ndugu cc Mshana jr. sijavuta tangia asubui.....