Kuna wanawake wana bahati na nyota ya pesa

Ulaaniwe sana kwa kuufanya moyo wa binti wa watu kitega uchumi.
Mkeo pamoja na wanao wa kike wakatendewe vivyo hivyo usipobadilisha akili yako ya kipumbavu
Si watakuwa wanatendewa wao, kwani yeye?

aiyaaaaaaaaa, we vipi.
 
Huyu muuwaji!
Yaani jamaa ni kwishney kabisa!
 
Naomba huo mfano wa hapa jf mkuu
 
Sujakuelewa kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona Mimi naanzia O na yeye I....
 
kwamba wewe ni mzembe namna hiyo

au mimi ndo sija elewa

mana miaka 20 unapata mamilioni halafu unayumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…