Kuna wanawake wana bahati na nyota ya pesa

Kuna wanawake wana bahati na nyota ya pesa

Ulaaniwe sana kwa kuufanya moyo wa binti wa watu kitega uchumi.
Mkeo pamoja na wanao wa kike wakatendewe vivyo hivyo usipobadilisha akili yako ya kipumbavu
Si watakuwa wanatendewa wao, kwani yeye?

aiyaaaaaaaaa, we vipi.
 
57807582-9720-4FDC-B5E0-AE3FD5432594.jpeg
Huyu muuwaji!
Yaani jamaa ni kwishney kabisa!
 
Naomba nichangie kufuatana na heading zaidi... Kuna ukweli mwingi kwenye kichwa cha habari ila iko hivi
Hao wanawake hawana bahati ya kuolewa ama kupata wapenzi wenye mapenzi ya kweli.. Wao huishia kutumika tu..
Kila mwanaume anayempata, mambo huwa safi kwa mwanaume hata wengine kufikia kujenga nyumba na kufanya uwekezaji
Tatizo huanza kwa mwanaume kuanza dharau na kuwa malaya sana.... Binti wa watu huishia kulia na Maumivu kisha baada ya muda hupata mwingine na kuanza upya
Huyu mwanaume haimchukui muda kugundua kuwa kapoteza mgodi hivyo hutaka kumtafuta tena mwanamke ila si kimapenzi bali kumtumia tu ili mambo yanyooke
Nina mifano hai mpaka hapa JF
Naomba huo mfano wa hapa jf mkuu
 
hasa wenye ndevu nao nyota zao zinanga'a sana. Kuna mzee alishanidokeza kuwa ukitaka mafanikio tafuta mchmba/mke mnaofuatana majina mfano kama wewe jina linaanza na A basi yeye A-D, X iendane na YZ....kupata ukweli jitathmini kwenye uhusiano uliopo na mafanikio yako hala tafuta na mfano kwa ndugu cc Mshana jr. sijavuta tangia asubui.....
Sujakuelewa kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hasa wenye ndevu nao nyota zao zinanga'a sana. Kuna mzee alishanidokeza kuwa ukitaka mafanikio tafuta mchmba/mke mnaofuatana majina mfano kama wewe jina linaanza na A basi yeye A-D, X iendane na YZ....kupata ukweli jitathmini kwenye uhusiano uliopo na mafanikio yako hala tafuta na mfano kwa ndugu cc Mshana jr. sijavuta tangia asubui.....
Mbona Mimi naanzia O na yeye I....
 
kwamba wewe ni mzembe namna hiyo

au mimi ndo sija elewa

mana miaka 20 unapata mamilioni halafu unayumba
 
Back
Top Bottom