Kuna wanawake wana mikosi na wengine baraka?

Kuna wanawake wana mikosi na wengine baraka?

Amini usiamini, jaribu kuoa demu wa bongo movie uone maisha yako yatakuwaje kama si kukimbiwa na watu kila kukicha wakikuona ni mtu wa mikosi. Ndiyo maana wanawake wengine ni wa kuchapa tu na kuaacha haswa hawa wanawake wa mjini wasio na shughuli kazi kudanga tu kutafuta waume za watu na kuwaroga.
Hahaha walishakupiga nini?
 
Hamna kuna mwanamke alisemwa vibaya kama Elizabeth Michael Lulu kwamba kila mwanaume anaekuwa nae atakufa refer to Kanumba, yule wa kuangukia meza ya kioo nimemsahau, na mambo kama hayo mbona Majjizoo yupo na ndoa kafunga na mimba juu?
Ni swala la Muda tu. Hatumeombei mabaya lakini.
 
Sometimes hayo mambo ni ya kweli lakini upambanaji nao huchangia mafanikio! Wengine pia husema hata uzao wa watoto una baraka zake. Kua jirani yangu ameprove hili, tangu mtoto wa kwanza hadi wa 3, mambo yalikuwa hovyo sana kifamilia na hata kiuchumi, Nduguze walimtenga mkewe , walikuwa hawakannyagi kwake, Lakini tangia alivyozaliwa mtoto wa 4 fursa nyingi zimefunguka a hata nduguze walianza kuja yumbani kuwatembelea!

Hata hivyo Mungu ni wa kumtanguliza sana katika yote kwani mengine huwa ni majaribu!
 
Hiyo unatakiwa uipigie mstari. Hata mpenzi tu, kuna mwingine hata pesa ya kula inaweza kukupiga chenga.
Hata suala la kusaidia ndugu, marafiki na watu wengine unapaswa kuwa makini. Mwingine ukimpa mshiko wako unajiroga mwenyewe.
 
Hii kitu kama ni kweli kbsàa nilikuwaga na demu wangu mmoja hivi alikuwa kila akija lazima mishe zangu zinyooke I wounder Sana hajawahi kuja akanikuta sina pesa hata siku moja

Hata akija ghafla mimi Mambo yangu yananinyookea kbsàa namkumbukaga Prs popote alipo mungu akulinde I wish one day tutakujaga kuonana tena
 
Nikki hajaoa, yule ni mpenzi wake, tena wa siku nyingi tu
 
Pita na malaya linalotoa harufu shentee uone!!!

Inakuaga ni full mikosi mzee 😂😂
 
Binafs nimepata ela sana baada ya kuoa.

Mke wangu ametokea familia maskini sana, nilipata upinzani sana kwa ndug,jamaa na marafiki.
Wengi wakitegemea ningeyumba kiuchumi.

Nilipopata na mtoto wa kwanza, ndio zikaongezeka zaidi na zaidi.

Ndani ya ile miaka 2 tu ya mwanzo ya ndoa na mke wangu.
Nmefanya makubwa sana kimaendeleo ambayo kikawaida yangenichukua miaka 5 kuyatekeleza.

NB: Tulikaa kwenye ndoa bila mtoto kwa miaka 2 .

Mwaka wa Tatu ndio akaja shika ujauzito wa firstborn wangu.

Na Ndani ya miaka 2 tu baada ya mwanangu wa kwanza kuzaliwa.
Nmejikuta nmefanya makubwa sana kimaendeleo ambayo nadhani kikawaida yangenichukua miaka 10 kuyatekeleza.

Naungana na Mtoa mada,
Kuna wanawake wananyota, Na mke wangu ni mmoja wapo.

MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU MAMA WATOTO WANGU. mmmwaaah![emoji8]
 
Hamna kuna mwanamke alisemwa vibaya kama Elizabeth Michael Lulu kwamba kila mwanaume anaekuwa nae atakufa refer to Kanumba, yule wa kuangukia meza ya kioo nimemsahau, na mambo kama hayo mbona Majjizoo yupo na ndoa kafunga na mimba juu?
ONE MANS' FOOD ANOTHER MAN'S POISON

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom