Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji1544]Mimi nikajua walivyonong'onezana ni kwamba ili umpe lift kwenye gari lako. Kumbe ili mpande wote daladala!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji1544]Mimi nikajua walivyonong'onezana ni kwamba ili umpe lift kwenye gari lako. Kumbe ili mpande wote daladala!!
Kwa hiyo haponi tu! manake kila nikikutana naye hali ni ilele tangu 2014Ulitembea na mgonjwa mwenye homa ya malaria. ila kwa hapa kwetu Afrika Kila kitu ni sifa.
Shakira ni balaa mkuuHongera sana kwa kujipatia Temperature ya kiwango cha juu kabisa.
Lile la mwanamke akiwa siku za hatari cha mtotoalikuwa na Genye zake za miezi + yuko ovulation.
inatokeaga ila kwa nadra sana, je mara ya pili ilikuwaje?. au ndio hujarudi tena Dar.
na quote tu "Kumbe ndiye yule alokuja mnong'oneza shemu kitu" kwamba alivyokuja kumnong'oneza na alivyorudi ulikuwa ushamsahau
chai chai chai
Huyu hata akikupa ugonjwa hujutiiShakira sio! Hahahaaaaa
We hujali shemeji?Mkuu unaweza kunipatia no yake Shakira
Daaah! nimekusikia mkuu!Haka ni kas3nge pia
Mkuu mbwisye mbwisye ndio nini?Jamaa mbwisye mbwisye kweli huyu
Shakira aolewe narudia tena aoleweHii mada haipo hapa kwa ajili ya kumdhalilisha mtu au jinsia fulani.Ila samahani kwa watakaokwazika.
Nakumbuka mwaka fulani(kabla sijaoa) nilitoka mkoani kuja dar kikazi.Nilipomaliza nikaona niende buza kwa lulenge kumtembelea kaka(mtoto wa baba yangu mdogo).Nilipofika kwa kaka tukawa katika maongezi,mara akaja binti mmoja akamnong'oneza kitu shemej
Yaani hata uvae kinga haisadii temperature inapenya tu,kuna namna anazungusha kiuno daaah!Hongera kwa kupelekwa Khartoum...nyuzi joto 42.
Umri unatutenganishaShakira aolewe narudia tena aolewe