mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,108
- 3,155
- Thread starter
- #101
Hapa sasa hivi nalea watoto na niliobakiwa nao ni wawili akiwemo huyuEndelea kunoa kisu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa sasa hivi nalea watoto na niliobakiwa nao ni wawili akiwemo huyuEndelea kunoa kisu
Daaaah! ushawahi kupatwa na stress(iliyotokana na mapenzi)? ndio ilokanikuta mpaka nikajikuta nafikisha idadi hiyo.Malaria sugu hiyo mpe msaada akatibiwe.halafu ukumbuke pepo la uasherati huwa linaambatana na pepo la uongo.
Kuwa makini,mkeo ashausoma huu uzi kupitia simu yako.😁😁😁Daaaah! ushawahi kupatwa na stress(iliyotokana na mapenzi)? ndio ilokanikuta mpaka nikajikuta nafikisha idadi hiyo.
Namshukuru MUNGU kwa kunikutanisha na MKE wangu ambaye amechangia nibadilike
Leta ngonjera ziendelee sis tuendelee kutafuna nyama bila mabangoNdio maana kama wewe mwanaume hujafikisha wanawake kuanzia 100+ huruhusiwi kukosoa wanawake
Yeye interest zake ni season tu, humu haingii,lakini hata akihisi kuna namna namuondolea mashakaKuwa makini,mkeo ashausoma huu uzi kupitia simu yako.😁😁😁
Mkuu cha joto muhimuLeta ngonjera ziendelee sis tuendelee kutafuna nyama bila mabango
Cha joto muhimu lakini mm navila vilivyo okwa vika okeka vikabaki katika ovenaMkuu cha joto muhimu
Kazi na bata mkuu! MEMBE alishauriHalafu tunategemea nchi ya VIWANDA na UBUNIFU vijana wetu ndio hawa.
Mwamba Tuvushe
Jasusi alikatwa Mkia wakamgusa akanuka yeyeKazi na bata mkuu! MEMBE alishauri
Vya kuokwa nakula na hivi vingine nakulaCha joto muhimu lakini mm navila vilivyo okwa vika okeka vikabaki katika ovena
Hahahahaaa,alihujumiwa yuleJasusi alikatwa Mkia wakamgusa akanuka yeye
HahahaaaaHahahahaaa,alihujumiwa yule
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ngoja mm niendelee kuwala walio okwa Tena wakienyej Mana Hawa wakizungu hawana Radha kabisa karibu Sana mtaani kwetu mm nakula vitu og nazindua mwenyew tuVya kuokwa nakula na hivi vingine nakula
Wengine wanapoharibu ndiyo hapo,wanafanya uzinzi halafu mke nyumbani wanamsahauWe jamaa ni mzinzi daraja la kwanza, nilikuwa-ga hivo kipindi nipo kijana
Wewe ndio utakuwa unatuharibia watoto wetu wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ngoja mm niendelee kuwala walio okwa Tena wakienyej Mana Hawa wakizungu hawana Radha kabisa karibu Sana mtaani kwetu mm nakula vitu og nazindua mwenyew tu
Hakuna mkuu mm nawajenga katika misingi imara kabisa mm nazindua nasepa si unajua hao watu wakishakuwa vile hawana mikosi na nuks Mana mapepo machafu hawana mwili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe ndio utakuwa unatuharibia watoto wetu wewe
Daaaah! Mkuu hawa watoto wetu tunawagharamia shule za gharama ujueHakuna mkuu mm nawajenga katika misingi imara kabisa mm nazindua nasepa si unajua hao watu wakishakuwa vile hawana mikosi na nuks Mana mapepo machafu hawana mwili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1B787]
Daaaah! Mkuu hawa watoto wetu tunawagharamia shule za gharama ujueHakuna mkuu mm nawajenga katika misingi imara kabisa mm nazindua nasepa si unajua hao watu wakishakuwa vile hawana mikosi na nuks Mana mapepo machafu hawana mwili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1B787]