Daaah aisee mkuu mimi kuna mmoja nimempiga chini sababu roho yangu ina sita sita sana...Hakuna dhambi mbaya na itakayokusumbua maishani na kukuletea mikosi ya kila aina na majuto kama ya kulala na mke wa mtu. Ile tu kusita kwako ina maana Mungu Anakuonya. Ikimbie hiyo dhambi mkuu [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
ASANTE sana mkuu kwa kuisikiliza sauti ya Mungu. Umejiokoa na mengi [emoji1545][emoji1545][emoji1545]Daaah aisee mkuu mimi kuna mmoja nimempiga chini sababu roho yangu ina sita sita sana...
Kwahiyo vijana tule puchu tu sio??..vijana tukiwaambia msioe hamtaki kusikia.
hayo umesema weweKwahiyo vijana tule puchu tu sio??..
Ninafanya fujo nyingi ila mke wa mtu hapana. Tena mko sehemu moja! Huoni kinyaa mkuu..??? Unamla na mate!?Huyu mdada tunafanya naye kazi yaani namshuhudia anaolewa tena harus yake sikuchanga na kadi alinipa na nikahudhuria vizuri tu
Huyu dada ananipendaga tu nishamla mara1 tu ana mtoto m1 amezaa na jamaa ila sasa kwa jinsi urafiki wetu ulivyo nikwamba ni mimi ndiye namkwepa ila huyu dada ananipenda vibaya mno yaani ni mimi ndio naheshimu ndoa yake. Leo ananambia eti nimpe mtoto m1 anaongeaga kimasihara lakini si kawaida yani, ni mke wa mtu, actualy hiyo kauli ilimtoka baada ya kukiss naye
Anasema anataka waongeze mtoto m1 na bwana wake hapo hapo na mimi ananambia maneno mengine.
Roho yangu unasita kumla tena naogopa, ananambia hata week hii nikitaka ananipa, sasa dah
Sijui nimle ila mambo ya wake za watu haya na wanawake wasivojua kuvunga wakichepuka si anantaftia balaa huyu
Huyu mdada tunafanya naye kazi yaani namshuhudia anaolewa tena harus yake sikuchanga na kadi alinipa na nikahudhuria vizuri tu
Huyu dada ananipendaga tu nishamla mara1 tu ana mtoto m1 amezaa na jamaa ila sasa kwa jinsi urafiki wetu ulivyo nikwamba ni mimi ndiye namkwepa ila huyu dada ananipenda vibaya mno yaani ni mimi ndio naheshimu ndoa yake. Leo ananambia eti nimpe mtoto m1 anaongeaga kimasihara lakini si kawaida yani, ni mke wa mtu, actualy hiyo kauli ilimtoka baada ya kukiss naye
Anasema anataka waongeze mtoto m1 na bwana wake hapo hapo na mimi ananambia maneno mengine.
Roho yangu unasita kumla tena naogopa, ananambia hata week hii nikitaka ananipa, sasa dah
Sijui nimle ila mambo ya wake za watu haya na wanawake wasivojua kuvunga wakichepuka si anantaftia balaa huyu
Acha kutuangusha mabaharia ww.. Mtafune fasta tena mtie mimba kabisa. Mkuu nasubiri mrejesho mwishoni mwa wiki ijayo. Acha kuendekeza uzembe.Huyu mdada tunafanya naye kazi yaani namshuhudia anaolewa tena harus yake sikuchanga na kadi alinipa na nikahudhuria vizuri tu
Huyu dada ananipendaga tu nishamla mara1 tu ana mtoto m1 amezaa na jamaa ila sasa kwa jinsi urafiki wetu ulivyo nikwamba ni mimi ndiye namkwepa ila huyu dada ananipenda vibaya mno yaani ni mimi ndio naheshimu ndoa yake. Leo ananambia eti nimpe mtoto m1 anaongeaga kimasihara lakini si kawaida yani, ni mke wa mtu, actualy hiyo kauli ilimtoka baada ya kukiss naye
Anasema anataka waongeze mtoto m1 na bwana wake hapo hapo na mimi ananambia maneno mengine.
Roho yangu unasita kumla tena naogopa, ananambia hata week hii nikitaka ananipa, sasa dah
Sijui nimle ila mambo ya wake za watu haya na wanawake wasivojua kuvunga wakichepuka si anantaftia balaa huyu
Mkuu kugongeana kulikuwepo toka zaman sana.Hakuna dhambi mbaya na itakayokusumbua maishani na kukuletea mikosi ya kila aina na majuto kama ya kulala na mke wa mtu. Ile tu kusita kwako ina maana Mungu Anakuonya. Ikimbie hiyo dhambi mkuu [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Hahaamda wote kuwa makini hakikisha unatembea na ky jelly au Durex mfukoni
Mkuu .kufikia level za kula wake za watu yaan ..ile ametoka lala na bwana wake asubuh nawee unakula mate vilevile ni level moja ya juu sana ya ubaharia..lazima uwe umechezea sana nyuchi nying mnoNinafanya fujo nyingi ila mke wa mtu hapana. Tena mko sehemu moja! Huoni kinyaa mkuu..??? Unamla na mate!?
Nashukuru umenielewa...Mkuu .kufikia level za kula wake za watu yaan ..ile ametoka lala na bwana wake asubuh nawee unakula mate vilevile ni level moja ya juu sana ya ubaharia..lazima uwe umechezea sana nyuchi nying mno
Una matatizo wewe...kumbuka malipo ni hapa hapa duniani..ukifanya ubaya utakurudia tu hapa hapa duniani...huyo mwanamke ni shetsni achana naye haraka before it is too late .mark my words...Huyu mdada tunafanya naye kazi yaani namshuhudia anaolewa tena harus yake sikuchanga na kadi alinipa na nikahudhuria vizuri tu
Huyu dada ananipendaga tu nishamla mara1 tu ana mtoto m1 amezaa na jamaa ila sasa kwa jinsi urafiki wetu ulivyo nikwamba ni mimi ndiye namkwepa ila huyu dada ananipenda vibaya mno yaani ni mimi ndio naheshimu ndoa yake. Leo ananambia eti nimpe mtoto m1 anaongeaga kimasihara lakini si kawaida yani, ni mke wa mtu, actualy hiyo kauli ilimtoka baada ya kukiss naye
Anasema anataka waongeze mtoto m1 na bwana wake hapo hapo na mimi ananambia maneno mengine.
Roho yangu unasita kumla tena naogopa, ananambia hata week hii nikitaka ananipa, sasa dah
Sijui nimle ila mambo ya wake za watu haya na wanawake wasivojua kuvunga wakichepuka si anantaftia balaa huyu
Huyu mdada tunafanya naye kazi yaani namshuhudia anaolewa tena harus yake sikuchanga na kadi alinipa na nikahudhuria vizuri tu
Huyu dada ananipendaga tu nishamla mara1 tu ana mtoto m1 amezaa na jamaa ila sasa kwa jinsi urafiki wetu ulivyo nikwamba ni mimi ndiye namkwepa ila huyu dada ananipenda vibaya mno yaani ni mimi ndio naheshimu ndoa yake. Leo ananambia eti nimpe mtoto m1 anaongeaga kimasihara lakini si kawaida yani, ni mke wa mtu, actualy hiyo kauli ilimtoka baada ya kukiss naye
Anasema anataka waongeze mtoto m1 na bwana wake hapo hapo na mimi ananambia maneno mengine.
Roho yangu unasita kumla tena naogopa, ananambia hata week hii nikitaka ananipa, sasa dah
Sijui nimle ila mambo ya wake za watu haya na wanawake wasivojua kuvunga wakichepuka si anantaftia balaa huyu