Kuna wanawake wanapenda vibaya jamani

Kuna wanawake wanapenda vibaya jamani

Hakuna dhambi mbaya na itakayokusumbua maishani na kukuletea mikosi ya kila aina na majuto kama ya kulala na mke wa mtu. Ile tu kusita kwako ina maana Mungu Anakuonya. Ikimbie hiyo dhambi mkuu [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Daaah aisee mkuu mimi kuna mmoja nimempiga chini sababu roho yangu ina sita sita sana...
 
Hakutafutii balaa wala nini, we kula tu.

Japo naskiaga majuto ni mjukuu..!
 
We mto.mbe tu ila hakikisha umejiandaa kufukuliwa tope kimasihara...Siku jamaa ataposanukia unamfanya anakoseshwa haki yake ya ndoa kisa wewe 🤣🤣🤣
 
Huyu mdada tunafanya naye kazi yaani namshuhudia anaolewa tena harus yake sikuchanga na kadi alinipa na nikahudhuria vizuri tu

Huyu dada ananipendaga tu nishamla mara1 tu ana mtoto m1 amezaa na jamaa ila sasa kwa jinsi urafiki wetu ulivyo nikwamba ni mimi ndiye namkwepa ila huyu dada ananipenda vibaya mno yaani ni mimi ndio naheshimu ndoa yake. Leo ananambia eti nimpe mtoto m1 anaongeaga kimasihara lakini si kawaida yani, ni mke wa mtu, actualy hiyo kauli ilimtoka baada ya kukiss naye

Anasema anataka waongeze mtoto m1 na bwana wake hapo hapo na mimi ananambia maneno mengine.

Roho yangu unasita kumla tena naogopa, ananambia hata week hii nikitaka ananipa, sasa dah

Sijui nimle ila mambo ya wake za watu haya na wanawake wasivojua kuvunga wakichepuka si anantaftia balaa huyu
Ninafanya fujo nyingi ila mke wa mtu hapana. Tena mko sehemu moja! Huoni kinyaa mkuu..??? Unamla na mate!?
 
Huku dodoma mimi ndo nawapanga tu aisee alafu kama hujagundua vile vipete vyao vipya
Vinaletaga mzuka balaa yan yan unawafanya unavyotaka ww na mambo yetu yale yan ni wepesi balaa aisee mi ndo maana sitaki kukaa mbali na mkewangu aisee
Huyu mdada tunafanya naye kazi yaani namshuhudia anaolewa tena harus yake sikuchanga na kadi alinipa na nikahudhuria vizuri tu

Huyu dada ananipendaga tu nishamla mara1 tu ana mtoto m1 amezaa na jamaa ila sasa kwa jinsi urafiki wetu ulivyo nikwamba ni mimi ndiye namkwepa ila huyu dada ananipenda vibaya mno yaani ni mimi ndio naheshimu ndoa yake. Leo ananambia eti nimpe mtoto m1 anaongeaga kimasihara lakini si kawaida yani, ni mke wa mtu, actualy hiyo kauli ilimtoka baada ya kukiss naye

Anasema anataka waongeze mtoto m1 na bwana wake hapo hapo na mimi ananambia maneno mengine.

Roho yangu unasita kumla tena naogopa, ananambia hata week hii nikitaka ananipa, sasa dah

Sijui nimle ila mambo ya wake za watu haya na wanawake wasivojua kuvunga wakichepuka si anantaftia balaa huyu
 
Huyu mdada tunafanya naye kazi yaani namshuhudia anaolewa tena harus yake sikuchanga na kadi alinipa na nikahudhuria vizuri tu

Huyu dada ananipendaga tu nishamla mara1 tu ana mtoto m1 amezaa na jamaa ila sasa kwa jinsi urafiki wetu ulivyo nikwamba ni mimi ndiye namkwepa ila huyu dada ananipenda vibaya mno yaani ni mimi ndio naheshimu ndoa yake. Leo ananambia eti nimpe mtoto m1 anaongeaga kimasihara lakini si kawaida yani, ni mke wa mtu, actualy hiyo kauli ilimtoka baada ya kukiss naye

Anasema anataka waongeze mtoto m1 na bwana wake hapo hapo na mimi ananambia maneno mengine.

Roho yangu unasita kumla tena naogopa, ananambia hata week hii nikitaka ananipa, sasa dah

Sijui nimle ila mambo ya wake za watu haya na wanawake wasivojua kuvunga wakichepuka si anantaftia balaa huyu
Acha kutuangusha mabaharia ww.. Mtafune fasta tena mtie mimba kabisa. Mkuu nasubiri mrejesho mwishoni mwa wiki ijayo. Acha kuendekeza uzembe.
 
Hakuna dhambi mbaya na itakayokusumbua maishani na kukuletea mikosi ya kila aina na majuto kama ya kulala na mke wa mtu. Ile tu kusita kwako ina maana Mungu Anakuonya. Ikimbie hiyo dhambi mkuu [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Mkuu kugongeana kulikuwepo toka zaman sana.
Tambua kuwa hata ukiogopa kugonga mke Wa mtu lakn mkeo watamla tu.
Akijilengesha kula kichwa
 
Ninafanya fujo nyingi ila mke wa mtu hapana. Tena mko sehemu moja! Huoni kinyaa mkuu..??? Unamla na mate!?
Mkuu .kufikia level za kula wake za watu yaan ..ile ametoka lala na bwana wake asubuh nawee unakula mate vilevile ni level moja ya juu sana ya ubaharia..lazima uwe umechezea sana nyuchi nying mno
 
Mkuu .kufikia level za kula wake za watu yaan ..ile ametoka lala na bwana wake asubuh nawee unakula mate vilevile ni level moja ya juu sana ya ubaharia..lazima uwe umechezea sana nyuchi nying mno
Nashukuru umenielewa...

Kinyaaa...
 
Huyu mdada tunafanya naye kazi yaani namshuhudia anaolewa tena harus yake sikuchanga na kadi alinipa na nikahudhuria vizuri tu

Huyu dada ananipendaga tu nishamla mara1 tu ana mtoto m1 amezaa na jamaa ila sasa kwa jinsi urafiki wetu ulivyo nikwamba ni mimi ndiye namkwepa ila huyu dada ananipenda vibaya mno yaani ni mimi ndio naheshimu ndoa yake. Leo ananambia eti nimpe mtoto m1 anaongeaga kimasihara lakini si kawaida yani, ni mke wa mtu, actualy hiyo kauli ilimtoka baada ya kukiss naye

Anasema anataka waongeze mtoto m1 na bwana wake hapo hapo na mimi ananambia maneno mengine.

Roho yangu unasita kumla tena naogopa, ananambia hata week hii nikitaka ananipa, sasa dah

Sijui nimle ila mambo ya wake za watu haya na wanawake wasivojua kuvunga wakichepuka si anantaftia balaa huyu
Una matatizo wewe...kumbuka malipo ni hapa hapa duniani..ukifanya ubaya utakurudia tu hapa hapa duniani...huyo mwanamke ni shetsni achana naye haraka before it is too late .mark my words...
 
huu ujasiri wa kuchekeana na wake za watu mnautoa wapi?
 
Hahaha wee jamaa n level za kina zero iq

Boss acha mazoea na huyo manzi bora akuone mbaya ila ukairithi mbingu, hao watu wanatumia sana hisia ww z ignore hzio hisia hadi akusahau

@BlackLivesMatter
 
Huyu mdada tunafanya naye kazi yaani namshuhudia anaolewa tena harus yake sikuchanga na kadi alinipa na nikahudhuria vizuri tu

Huyu dada ananipendaga tu nishamla mara1 tu ana mtoto m1 amezaa na jamaa ila sasa kwa jinsi urafiki wetu ulivyo nikwamba ni mimi ndiye namkwepa ila huyu dada ananipenda vibaya mno yaani ni mimi ndio naheshimu ndoa yake. Leo ananambia eti nimpe mtoto m1 anaongeaga kimasihara lakini si kawaida yani, ni mke wa mtu, actualy hiyo kauli ilimtoka baada ya kukiss naye

Anasema anataka waongeze mtoto m1 na bwana wake hapo hapo na mimi ananambia maneno mengine.

Roho yangu unasita kumla tena naogopa, ananambia hata week hii nikitaka ananipa, sasa dah

Sijui nimle ila mambo ya wake za watu haya na wanawake wasivojua kuvunga wakichepuka si anantaftia balaa huyu
 

Attachments

  • IMG-20250128-WA0054.jpg
    IMG-20250128-WA0054.jpg
    142.5 KB · Views: 2
Back
Top Bottom