Kuna wanawake wazuri, wadogo halafu wana pesa!

Developer hii APP ya Bhange itoieni watu wenye simu janja wanai download sasa bangi app ni hatari kuliko cha Arusha
 
Umejoin jana tayari ushaanzisha nyuzi 14 hadi sasa na siku bado haijaisha....hii ni moja kati ya maajabu yaliyowahi kutokea JF

Hongera sana
Ha ha ha ha ,kwan hatuwezi kupendekeza mello aanzishe tuzo kwa maajabu kama haya yatunzwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…