Wapo wanawake ambao wanamaamuzi juu ya maisha yao. Ukute Don alikua mume wa mtu. Kuna wanawake hawawezi date na mume wa mtu hata iweje.Inshort !!
Thamani ya mtu huwezi kuilinganisha na kiasi chochote cha pesa
Alitambua uhalisia na thamani yake mapema
Na Roho mtakatifu hakuwa nyuma kumsaidia
Yes, aliyaongea hayo eneo takatifu tena madhabahuni kabisa.
😀😀😁😎😳Acha porojo, what if hizo madhabahu ni za Baba wa uongo ibilisi ambaye uongo ndio DNA yake?.Yes, aliyaongea hayo eneo takatifu tena madhabahuni kabisa.
Huu muonekano mpya mbaya unaleta uvivu kusoma postNimeingia bila kuangalia nani kaanzisha uzi. Hii yote ni huu muonekano mpya ndo umesababisha.
Unamuongelea Rose shaboka?Habari, leo nilitembelea moja ya makanisa ya kiroho hapa Dar. Ibada ilikwenda vizuri ila mwishoni mama mchungaji ambaye ni binti wa miaka kati ya 30-32 alitoa neno.
Huyu ni binti mweupe, mrefu na mwenye shape yake, ni mzuri kiukweli, tena sana kwenye kila angle.
Kikubwa ni binti asiyeringa na hana majivuno, kuanzia kwenye kuongea na watu mpaka maisha yake kwa ujumla.
Sasa lililonishangaza na kuamini kuna wanawake warembo wana misimamo ni hili,
Anasema alipokuwa chuo kikuu(UDSM) alipata usumbufu mno kutoka kwa Wahadhiri wake, sana. Pia baada ya kumaliza na kuanza kazi ofisini alisumbuliwa mno na mabosi na watu wazito baadhi wa nchi hii.
Anasema alikataa ofa ya 100m TZS kwa wakati huo ili akubali ku date na don fulani. Hapa ndipo pamefanya nimpe credits 98% mrembo huyu.
Aisee kuna warembo hawanunuliki kwa chochote.
Unafikiri siku hizi watu wanaogopa kusema uongo madhabahuni? Mpaka baadhi ya wachungaji wanasema uongo. Mfano Gwaji boy anadanganya anafufua watu lakini siku aliyokufa mama yske akawa kimya! Kuna mtu asiyempenda mama yake kwa nini hakumfufua?Yes, aliyaongea hayo eneo takatifu tena madhabahuni kabisa.
Haaaaaahaaaaa lioneni jinga hili,aliongelea wapi?Yes, aliyaongea hayo eneo takatifu tena madhabahuni kabisa.
HaaaaaahaaaaaInshort !!
Thamani ya mtu huwezi kuilinganisha na kiasi chochote cha pesa
Alitambua uhalisia na thamani yake mapema
Na Roho mtakatifu hakuwa nyuma kumsaidia
HaaaaahaaaaaNgoja niongeze na hii chai japo maandazi yamesha poa.
MwambieMetal mada una miaka mingapi?m 100 unazijua au unazisikia? Udhani mtatoaje sadaka bila hizo mbwembwe