Kuna warembo hawanunuliki. Imagine huyu alikataa 100M TZS!

Kuna warembo hawanunuliki. Imagine huyu alikataa 100M TZS!

Inshort !!
Thamani ya mtu huwezi kuilinganisha na kiasi chochote cha pesa
Alitambua uhalisia na thamani yake mapema
Na Roho mtakatifu hakuwa nyuma kumsaidia
Wapo wanawake ambao wanamaamuzi juu ya maisha yao. Ukute Don alikua mume wa mtu. Kuna wanawake hawawezi date na mume wa mtu hata iweje.
 
Nimeingia bila kuangalia nani kaanzisha uzi. Hii yote ni huu muonekano mpya ndo umesababisha.
 
Habari, leo nilitembelea moja ya makanisa ya kiroho hapa Dar. Ibada ilikwenda vizuri ila mwishoni mama mchungaji ambaye ni binti wa miaka kati ya 30-32 alitoa neno.

Huyu ni binti mweupe, mrefu na mwenye shape yake, ni mzuri kiukweli, tena sana kwenye kila angle.
Kikubwa ni binti asiyeringa na hana majivuno, kuanzia kwenye kuongea na watu mpaka maisha yake kwa ujumla.

Sasa lililonishangaza na kuamini kuna wanawake warembo wana misimamo ni hili,

Anasema alipokuwa chuo kikuu(UDSM) alipata usumbufu mno kutoka kwa Wahadhiri wake, sana. Pia baada ya kumaliza na kuanza kazi ofisini alisumbuliwa mno na mabosi na watu wazito baadhi wa nchi hii.

Anasema alikataa ofa ya 100m TZS kwa wakati huo ili akubali ku date na don fulani. Hapa ndipo pamefanya nimpe credits 98% mrembo huyu.

Aisee kuna warembo hawanunuliki kwa chochote.
Unamuongelea Rose shaboka?
 
Wachungaji wa mchongo tu hao, milion 100 cash iko kwenye account harafu aikatae aseme siitaki anairudisha kisa mbususu.
 
Huu uzi bila picha ni ngumu kusadiki, sura, shepu nk lazima tuzipime hapa ndipo tukubaliane kama ni mrembo kweli na alimkataa mamilioni.

Tuma picha ya mama mchungaji tumwone alivyo
 
Yes, aliyaongea hayo eneo takatifu tena madhabahuni kabisa.
Unafikiri siku hizi watu wanaogopa kusema uongo madhabahuni? Mpaka baadhi ya wachungaji wanasema uongo. Mfano Gwaji boy anadanganya anafufua watu lakini siku aliyokufa mama yske akawa kimya! Kuna mtu asiyempenda mama yake kwa nini hakumfufua?
 
Mkuuuu est.africa milioni mia hakuna anaeikataa
 
Labda ni 100K na sio 100M.

We unaijua 100M wewe?!
 
Beautiful woman is another man play things ….oooh it’s not easy to understand it….

Never ever trust a beautiful women words…
 
Hv mna matatizo gani ninyi walokole? Kwa hyo nawe umemuamini milioni mia yaani mia sijui mnawachukuliaje hao wachungaji wenu yaani mnawaona malaiiiiika
 
Back
Top Bottom