Kuna warembo hawanunuliki. Imagine huyu alikataa 100M TZS!

Hata Majaliwa alikua madhabahuni akituaminisha Rais yupo fit anachapa kazi, kumbe walishamuweka kwenye jokofu kitambo tu.
Unaambiwa slipigwa biti sio la nchi hii, akaambiwa afunge domo lake ndo akaambiwa cha kufanya akiwa mbeya
 
Mbwa tu
Sasa anatoa papa bure wakati amekataa 100m kwa bao moko tu?
 
Kati ya maneno 10 ya watumishi wa bwana,wewe unaweza chukua 1 tu,au ikiwezekana usichukue kabisa,hasa zile zinazoitwa shuhuda...
 
Hizo ni porojo tu za wafanyabiashara wa makanisa

Ikiwa umefikia hatua ya kuamini maneno ya hao so called mitume na manabii basi fahamu maisha yako yanaenda kuharibika
 
Si muandikage tu kiswahili au nasema uongo anko mushobozi?
English and Swahili language are officially used in our government. It's the choice of person to use any of those languages based on how comfortable he is.
 

Na wewe umemwamini? Nilifikiri ni wewe umempa milioni 100 amekataa...

Sasa mpe laki uone kama hutakula mzigo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…