Kuna warembo hawanunuliki. Imagine huyu alikataa 100M TZS!

Makanisa ya siku hizi bwana! So kanisani mtu anapanda madhabahuni anaelezea alivyokuwa anatongozwa!
 
Wewe ni ke au me? Unawezaje kuamini kirahisi maneno ya kuambiwa, tena mhusika mwenyewe ndiye anayekusimulia eti alikataa 100M!! Milioni 100 unaijua kweli wewe? !!
 
Yes, aliyaongea hayo eneo takatifu tena madhabahuni kabisa.
Hahahahaha.......unachekesha sana wewe. Unacheza na binadamu wewe eti enh? Binadamu anazini madhabahuni, we unamuamini kisa tu kasema uongo madhabahuni! Utaamini kila kitu Wallah!!
 
Uyo alikataa kwa sababu alijua hakuna wa kumpa ela iyo ,
 
English and Swahili language are officially used in our government. It's the choice of person to use any of those languages based on how comfortable he is.
You could at least mind your grammar in your petty, meaningless comment 😟
 
Hata Majaliwa alikua madhabahuni akituaminisha Rais yupo fit anachapa kazi, kumbe walishamuweka kwenye jokofu kitambo tu.
sio kweli mkuu, Waziri Kassim hakuwa mazabahuni, ingawaje alikuwemo ndani ya jengo takatifu la Msikiti
 
Epuka matapeli
 
after God fear women!!! huwajui wanawake wewe
 
Wewe unafikiri asipokuaminisha hivo sadaka Yako ataipataje. Mwambie aache uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…