Kuna Warembo hupaswi kuwala kwa Condom.Na hata akikuambukiza hujutii kabisa

Imewahi kunicost hii ishu sitaki hata kusikia

Iko hivi Mwak 2014 tumefunga chuo nimeenda kutembea njombe kufika kule siku ya pili yake kuna nyumba ya jirani pia alikua kaja mdada mrembo hatari yani amekamilika full. Basi mwenyeji wa huyo dada alikua na duka anauza vinywaji tukaenda hapo na mwenyeji wangu.
Yule dada mgeni akanielewa bana akawa ananiangalia sanaaa mwishoe akaja akakaa karibu yangu nikajiongeza tu huwa situmii kilevi so nikamnunulia soda pale badae nikaomba kuondoka nae akakubali nikasema leo nimeona mwezi lakini dada yake akawa hataki niondoke nae ikabidi azuge atoroke nikaomba condom kwa mwenyeji wangu akaniambia fala wewe mtoto mzuri hivi kondom ya nini?? Nikaona kweli nikaenda kula KAVU siku mbili mbele nikaanza kukojoa usaha kudadeki nilichanganyikiwa sana.
Nikaenda hospital Dr akaniambia usiogope ni mkojo mchafu nikaona kanidanganya nikapewa dawa nikapona.
Mpaka leo sijawahi lala na mrembo kama yule lakini nawaogopa sana huo mwaka nilipima sana mara 4 nzima kwa uoga. [emoji23][emoji23]
 
Ha ha ha.....🤣🤣🤣🤣🤣 Ulipatwa na ugonjwa gani toka kwa mrembo?

 
Umevuta Bangi Leo?[emoji23]
 
MSHAURI WA ANASA NA MAMBO YA KIPUMBAFUUU😂😂😂😂
 
Hizo mseto zenyewe simalizagi dose sasa nikuvuta picha kile kitendo cha kumeza ARV kila siku aaahh..!
Sir God niepushie mbali hii kitu
 
Matokeo ya IV bado hayajatoka nadhani!!
 
Hizo mseto zenyewe simalizagi dose sasa nikuvuta picha kile kitendo cha kumeza ARV kila siku aaahh..!
Sir God niepushie mbali hii kitu
Acha uoga Rwanda wameanza kuhamia kwenye sindano ambapo utakuwa unachomwa sindano moja na kuja kurudia baada ya miezi nane
 
Duuh, hawa ndio wanaume wa JF
 
Watu wa mikoani bize kujisifu na ngono mnalima saa ngapi nyinyi? Huo ugali unaousema hapo ukishinda mitandaoni unaandika utumbo magugu utayaondoa shambani saa ngapi?

Bro huyu ni ndugu yenu wa Buza mikoani hakuna watu wa namna hii.
 
Umekula malaya unataka tukufariji arifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…