Kuna watu bado hawaja recover, Hawamini macho yao. Wanaugua Mioyoni mwao

Kuna watu bado hawaja recover, Hawamini macho yao. Wanaugua Mioyoni mwao

Retired ana maumivu makubwa sana. Haaamini macho yake. Ukimsoma unamwona amekonda na kunyorodoka. Sura imejikunja ana wivu,chuki ,hasira na njaa...haamini kama mtu aliyempenda kufa si mwenyekiti tena wa Chadema. Haamini.

Watu wa karibu yake wanasema afya yake imedhoofika sana. Anasonya kila wakati na akimwona Lissu anatema mate. Mentally hayupo sawa kabisa. Yeye na @Malaria2 wana hali mbaya sana. Wapo katika siku mbaya za miezi wakati wote.

Hawa jamaa kila siku wakikaa ni kuangalia Lissu kafanya nini waje wapost. Ni kukumkumbuka Mbowe na kukosoa Cdm. Yaani kwa sasa retired ni mkosoaji wa CDM kuliko hata CCM. ANA CHUKI,WIVU,HASIRA,KISASI,NJAA,MAUMIVU,STRESS,MAGONJWA etc.

Ameshindwa ku move on. Huwa nawashauri madogo muache kutegemea wanaume wenzenu. Tafuteni namna ya kuishi. Matokeo yake mnakuwa frustrated this much. Kama wanawake waliotelekezwa na ujauzito. Maisha lazima yaendelee. Mkubali matokeo. Kwa sasa mwenyekiti wa CDM NI TUNDU A. LISSU.

MBOWE MFANYENI MWENYEKITI WENU NA FAMILIA ZENU.


KUTOKA USA NIKILA BATA
MBOLEA YA MINJINGU
Africa ni vigumu kuendelea kama watu wake kila siku siasa zao ni za kuangalia watu, si za kuangalia sera.
 
Retired ana maumivu makubwa sana. Haaamini macho yake. Ukimsoma unamwona amekonda na kunyorodoka. Sura imejikunja ana wivu,chuki ,hasira na njaa...haamini kama mtu aliyempenda kufa si mwenyekiti tena wa Chadema. Haamini.

Watu wa karibu yake wanasema afya yake imedhoofika sana. Anasonya kila wakati na akimwona Lissu anatema mate. Mentally hayupo sawa kabisa. Yeye na @Malaria2 wana hali mbaya sana. Wapo katika siku mbaya za miezi wakati wote.

Hawa jamaa kila siku wakikaa ni kuangalia Lissu kafanya nini waje wapost. Ni kukumkumbuka Mbowe na kukosoa Cdm. Yaani kwa sasa retired ni mkosoaji wa CDM kuliko hata CCM. ANA CHUKI,WIVU,HASIRA,KISASI,NJAA,MAUMIVU,STRESS,MAGONJWA etc.

Ameshindwa ku move on. Huwa nawashauri madogo muache kutegemea wanaume wenzenu. Tafuteni namna ya kuishi. Matokeo yake mnakuwa frustrated this much. Kama wanawake waliotelekezwa na ujauzito. Maisha lazima yaendelee. Mkubali matokeo. Kwa sasa mwenyekiti wa CDM NI TUNDU A. LISSU.

MBOWE MFANYENI MWENYEKITI WENU NA FAMILIA ZENU.


KUTOKA USA NIKILA BATA
MBOLEA YA MINJINGU
Adui wa CHADEMA ni CCM. Unachofanya ni kulazimisha bifu kati ya CHADEMA na CHADEMA hata kama halipo. Yaani siku zote zilizopita tangu uchaguzi uishe, umekaa unachunguza sura za watu ili tu kuona kama zina huzuni?

Tufanye kazi za kuingiza vipato.
 
Retired ana maumivu makubwa sana. Haaamini macho yake. Ukimsoma unamwona amekonda na kunyorodoka. Sura imejikunja ana wivu,chuki ,hasira na njaa...haamini kama mtu aliyempenda kufa si mwenyekiti tena wa Chadema. Haamini.

Watu wa karibu yake wanasema afya yake imedhoofika sana. Anasonya kila wakati na akimwona Lissu anatema mate. Mentally hayupo sawa kabisa. Yeye na @Malaria2 wana hali mbaya sana. Wapo katika siku mbaya za miezi wakati wote.

Hawa jamaa kila siku wakikaa ni kuangalia Lissu kafanya nini waje wapost. Ni kukumkumbuka Mbowe na kukosoa Cdm. Yaani kwa sasa retired ni mkosoaji wa CDM kuliko hata CCM. ANA CHUKI,WIVU,HASIRA,KISASI,NJAA,MAUMIVU,STRESS,MAGONJWA etc.

Ameshindwa ku move on. Huwa nawashauri madogo muache kutegemea wanaume wenzenu. Tafuteni namna ya kuishi. Matokeo yake mnakuwa frustrated this much. Kama wanawake waliotelekezwa na ujauzito. Maisha lazima yaendelee. Mkubali matokeo. Kwa sasa mwenyekiti wa CDM NI TUNDU A. LISSU.

MBOWE MFANYENI MWENYEKITI WENU NA FAMILIA ZENU.


KUTOKA USA NIKILA BATA
MBOLEA YA MINJINGU
Mkuu acha waugulie. Unajua Mbowe alikuwa ana uhakika wa 100% kuwa atashinda. Na akawaaminisha hawa wafuasi wake kuwa watashinda. Kla kitu kilikuwa upande wao. Dola, CCM na fedha kibao. Walihonga wakajiaminisha kuwa ushindi mnono ni wao. Hawakuamini mambo yalivyogeuka. Hata Mbowe kubaki mpaka mwisho na kuonyesha kama amekubaliana na matokeo kwa furaha ni kwa nje tu. Ndani alikuwa anaugulia mno. Kumbuka alishanunua na ofisi kwa kudhani kuwa yeye ndiye ataitumia. Kusema kweli kama kuna sehemu mtu unaposema kuwa kuna mkono wa Mungu, basi ni hapa. Rushwa plus Samia walishindwa na haki plus wananchi.
 
Narudia tena, ni suala la muda tu kabla mshamba flani hajatema au kutemeshwa bungo!!
Hatimaye umerudi jukwaani!
Yule aliyekuwa anaandika kuwa hakuna wa kumtoa Mbowe kwenye uenyekiti wa CHADEMA yuko wapi!!??

Amelaaniwa yule amtegemeaye mwanadamu.
 
Hatimaye umerudi jukwaani!
Yule aliyekuwa anaandika kuwa hakuna wa kumtoa Mbowe kwenye uenyekiti wa CHADEMA yuko wapi!!??

Amelaaniwa yule amtegemeaye mwanadamu.
Uko sahihi, Kwakweli wewe umelaaniwa sababu unamtegemea lissu.
 
Back
Top Bottom