BestOfMyKind
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 1,350
- 1,464
Leprofesorer a. k. a mzee wa BuguruniKuna aina ya watu waliopigania kuingia kwenye siasa mpaka hawawezi kuwa na maisha nje ya siasa. Baadhi yao mfano ni hawa:
1. Nape Nnauye - huyu bila siasa hana maisha
2. Yusuph Makamba - mzee huyu bila siasa kinywa hakipokei mkono.
3. Humphrey Polepole - huyu jamaa bila porojo za siasa hana maisha.
4. Wengine ongezea na wewe ....
Umemsahau Mmawia mkuu. Yule jamaa yuko tayar kwa lolote hata kumpigia mwenyekiti kiwi kwa njia ya ulimi ilimradi mkono uende kinywani. Fikiria unaweza kuanzisha thread yako inayohusu mwenyekiti, lkn akauteka uzi wako na kuchangia yeye tu uzi mzima.Kuna aina ya watu waliopigania kuingia kwenye siasa mpaka hawawezi kuwa na maisha nje ya siasa. Baadhi yao mfano ni hawa:
1. Nape Nnauye - Huyu bila siasa hana maisha
2. Yusuph Makamba - Mzee huyu bila siasa kinywa hakipokei mkono.
3. Humphrey Polepole - Huyu jamaa bila porojo za siasa hana maisha.
4. Wengine ongezea na wewe ....
Alama ipi zaidi ya kujali matumbo yaoWatu mnajisahau sana na hii mishahara yenu. Unadhani rizki ya mtu unatoa wewe? Hao unaowasimanga wanazo alama katika nchi wewe umefanya kipi? Tiacheni contribution zenye husda
Tumikia nchi yako pale ulipo acha husuda husuda na chuki chuki plus ulimbukeni. Waziri kutumia lile gari au nyumba ya serikali unaona tabu? Tafuta pesa na uwe serious na maisha Mungu atakupa. Hizo facilities wanatumia kama mali ya serikali wakistaafu wanaziachamaisha yanaendeleaAlama ipi zaidi ya kujali matumbo yao
Wanasiasa wote nchi wanajali matumbo
Yao
Ova
Je Dudumizi anaweza🤔.Umemsahau Mmawia mkuu. Yule jamaa yuko tayar kwa lolote hata kumpigia mwenyekiti kiwi kwa njia ya ulimi ilimradi mkono uende kinywani. Fikiria unaweza kuanzisha thread yako inayohusu mwenyekiti, lkn akauteka uzi wako na kuchangia yeye tu uzi mzima.
View attachment 2053254
Paul Makondanchi huru
waache watu wafanye their own decisions for themselves
ilimradi hawajavunja sheria
hii kumsema mtu mmoja mmoja ni nonsense...cha kufanya ni kujenga Katiba yenye kuwanyang'anya madaraka na kuyarudisha kwetu kwa asimilia kubwa
Kila mtu awe na maisha yake afanye decisions zake kwa faida yake bila kuumiza wengine
siasa imekua too lucrative huku kwetu ndio maana kila mtu anaigombania aweze ku-rule over other human beings and to tell them what to do and pass favours for himself and his cronies to enjoy their life luxuries
Solution hapa ni kuyapunguza kwa asilimia kubwa kiasi kwamba kama mtu anaingia kwa mawazo ya ku-enrich themselves iwe ni hasara kwao
hii kufata kimtu kimoja kimoja ni kama witch hunting hivi.....cut all the system and people will be levelled up!
John MnyikaWatu mnajisahau sana na hii mishahara yenu. Unadhani rizki ya mtu unatoa wewe? Hao unaowasimanga wanazo alama katika nchi wewe umefanya kipi? Tiacheni contribution zenye husda
unafikiri DAB huko aliko anaishi kwa raha?Kuna aina ya watu waliopigania kuingia kwenye siasa mpaka hawawezi kuwa na maisha nje ya siasa. Baadhi yao mfano ni hawa:
1. Nape Nnauye - Huyu bila siasa hana maisha
2. Yusuph Makamba - Mzee huyu bila siasa kinywa hakipokei mkono.
3. Humphrey Polepole - Huyu jamaa bila porojo za siasa hana maisha.
4. Wengine ongezea na wewe ....