Kuna watu bwana vyakula vingine hawawezi kula au kuchanganya anahisi atatapika

Kuna watu bwana vyakula vingine hawawezi kula au kuchanganya anahisi atatapika

mimi natapika pombe ikizidi Basi vingine tushawaachia wanaume wa Dar
 
Wabongo kwa kujidekeza hamjambo....mimi labda ninywe sumu ndiyo naweza kutapika.
 
[emoji28][emoji28][emoji28]hao jamaa zako itokee siku moja wamepata njaa na hakuna chakula kingine zaidi ya icho wanachojifanya hawapendi,,,,nakwambia watakula tena vzr tu
 
Kama Mimi kuna jamaa zangu mmoja hawezi kula ndizi mbivu anahisi atatapika, mwingine huyo anasema akila wali na soda basi lazima arudishe basi fuluuu raha unakuta mimi nafurahi kweli nasombelea tu,

Ila mimi sasa nikila samaki na chai hapo naweza kutapika vyote maana nahisi kichefuchefu na mimi ni Mwanaume 😜😁 maana najua kuna watu humu watakuja na yao,

Ebu tuelezane wewe naona ukichanganya chakula gani na gani basi havitaki kukaa tumboni.


🤦🤪🏃
Mimi nikila pilau ama biriani sinawi wiki nzima nahofia kushikwa na njaa.
 
Tafuna dagaa wakavu kisha kula karanga mbichi (i.e. kavu lakini hazijakaangwa) uone habari yake. Hii ni universal, haichagui. Kila mtu lazima chenji irudi.
Nshakula hyoo na sikutapika ila kiukweli inafanya kinywa kitoe harufu mbovu sana
 
Mie kutapika ngumu.
Ila Utumbo, Kongoro, Sijui Kitabu, Kichwa hata kwa dawa sili. Yaani nilishindwa toka utotoni kwa mujibu wa mama.
 
Back
Top Bottom