BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
- Thread starter
-
- #61
Amina, na jambo la mwisho zaidi usilale bila kupiga mswaki, maana wakati wa usiku ndio mabakteria yanashambulia mdomo kwa kasi ya ajabu. Ni hatari kubwa.Sawa nimekuelewa vizuri mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mchawi maji mengi tu
Kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo anashauriwa kutumia limao mkuuAmina, na jambo la mwisho zaidi usilale bila kupiga mswaki, maana wakati wa usiku ndio mabakteria yanashambulia mdomo kwa kasi ya ajabu. Ni hatari kubwa.
2. Kila unapotembea beba kachupa cha maji ukatilie chumvi uwe unayasukutua kiaina hivi.
3. Kama kuna maradhi ya tumbo, juisi ya limao kila siku asubuhi itakufaa sana. Na mchanyiko wa asali kidogo kama unaweza kupata.
Usiku mwema.
hao wanaonuka labda wana ugonjwa flani wa kinywaKuna watu sijui midomo yao ina nini, hata asiposukutua mwezi mzima lakini mdomo wake haunuki hata chembe.
Akiamka asubuhi kinywa safi hadi raha, hakuna maharufu ya panya kuoza.
Yaani hata asipopiga mswaki ni ananukia mdomoni marashi matupu.
Kuna wale wenzangu na mimi wananuka midomo kama wamekula samadi au mbolea.
Hata wasukutue mara mia lakini midomo inatema cheche za moto.
Hii imekaaje?
MY TAKE: Tupige miswaki mara mbili kwa siku.
acha uchokozi😂Ndio wananuka mdomo humu jukwaani hawa?
Kweli umeng'enyaji wa vyakula ukiwa mgumu tumboni nako kunachangia,,pia aina ya vyakula tunavyokula, usafi wa kinywa, n.kSometimes huwa ni matatizo ya tumbo babu
Vidonda vya tumbo vikikomaa,amoeba,minyooKweli umeng'enyaji wa vyakula ukiwa mgumu tumboni nako kunachangia,,pia aina ya vyakula tunavyokula, usafi wa kinywa, n.k
[emoji120]
Ni shida jamani, mtu akifungua mdomo chumba chote kinalipuka.hao wanaonuka labda wana ugonjwa flani wa kinywa
Asali ni nzuri zaidi kwa vidonda vya tumbo.Kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo anashauriwa kutumia limao mkuu
Uwe na usiku mwema pia
Kunuka mdomo ni tatizo linalohitaji tiba au kubadili life style.
Kunywa juice ya limao kila siku hata usipopiga mswaki mwezi huta toa arufuKuna watu sijui midomo yao ina nini, hata asiposukutua mwezi mzima lakini mdomo wake haunuki hata chembe.
Akiamka asubuhi kinywa safi hadi raha, hakuna maharufu ya panya kuoza.
Yaani hata asipopiga mswaki ni ananukia mdomoni marashi matupu.
Kuna wale wenzangu na mimi wananuka midomo kama wamekula samadi au mbolea.
Hata wasukutue mara mia lakini midomo inatema cheche za moto.
Hii imekaaje?
MY TAKE: Tupige miswaki mara mbili kwa siku.
Asante sana.Kunuka mdomo ni tatizo linalohitaji tiba au kubadili life style.
Mtu haupaswi kunuka mdomo. Ila kwa kuwa ni tatizo linalowapata wengi, basi watu wanachukulia kuwa kunuka mdomo ni lazima na asiyenuka ni muujiza.
ExactlyKunywa juice ya limao kila siku hata usipopiga mswaki mwezi huta toa arufu
Inapatikana duka la madawa na bei yake je?Hiyo, Ni ugonjwa kama ugonjwa mwingine tumieni mouthwash(Hydrogenperoxide3%) unapigia mswaki kimfuniko kimoja asubuh na jion. Matokeo yanaonekana siku yakwanza tu, Asante
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah mkuu bichwa komwee mbona tunatajana sasa??[emoji23][emoji23][emoji23] sijapenda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] najua haunuki mdomoHahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah mkuu bichwa komwee mbona tunatajana sasa??[emoji23][emoji23][emoji23] sijapenda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana ndugu, lakini hilo ni tatizo dogo sana, na unalikuza zaidi katika akili yako linazidi kukuvuruga kumbe ni katatizo kadogo sana.
Nikushauri uanze tiba ya asili ya kubadilisha kabisa mfumo wako wa chakula pamoja na usafi wa meno.
1. Upe mwili wako nafasi ya kujitibu kwa kuachana na vyakula vinavyozalisha sulphur au vinavyosababisha harufu kuzidi maradufu kama vile nyama nyekundu, mayai, vitunguu nk. Na badala yake ule matunda na mbogamboga tupu angalau kwa miezi mitatu. (Na pia kama ulikuwa unameza madawa yoyote achana nayo).
2. Usinywe kabisa soda na vinywaji vyovyote vya kiwandani au vilevi na badala yake kunywa maji mengi sana angalau lita nne kwa siku na hata zaidi ya hapo.
3. Usitumie dawa za meno zenye flouride, na ikiwezekana tumia baking soda kwa kusukutulia angalau mara tatu kwa siku au zaidi ya hapo kwa kila baada ya mlo.
4. Sugua ulimi mpaka kwenye koromeo kule ndani kabisa na kwenye kuta zote za tonsils, na pia sugua juu kwenye PAA la mdomo, pembezoni na mdomo na kuzunguka fizi zote.
5. Chukua uzi wa kushonea nguo ingiza katikati ya meno safisha meno yote mpaka kwenye magego, ingiza katikati kila mahali.
6. Koroga maji ya chumvi fanya kama unayabwia mdomoni na kuyasukutua kisha yateme na meza kidogo kila siku baada ya kusukutua.
7. MAJI, MATUNDA, MBOGA ZA MAJANII ongeza kwa wingi sana.
8. Sali na fanya maombi. Nguvu za giza zipo.
9. Kila siku asubuhi unapoamka chukua malimau mawili makubwa yabinye kwenye kikombe cha maji kunywa. Kila siku angalau kwa miezi miwili uone hali ikoje.
10. Mwisho, fanya zoezi la kisaikolojia kwa kupuuza maneno na fikra za watu. Jiamini na endelea kujitibu. Hakuna aliye mkamilifu.