DIVISHENI FOO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,440
- 3,142
ππππππππππππππππππ mtaa gani huo ... au wahuni wa Buza?Unaambiwa huu mtaa wangu wanataka waandamane mana kila mtu anataka picha yako... Nawambia waka danlodi
Buza tena wee mshenzi wa tabia kumbe....ππππππππππππππππππ mtaa gani huo ... au wahuni wa Buza?
Tangu nimeokoka, hata mie najionea mabadiliko kwenye maisha yangu.Buza tena wee mshenzi wa tabia kumbe....
ππππππ
Aaaah ww kuokoka sijuii..Tangu nimeokoka, hata mie najionea mabadiliko kwenye maisha yangu.
ππππ akina nani hao... njoo inbox unipe umbeaAaaah ww kuokoka sijuii..
Alafu kuna watu wanakutafta humu humu jf wananifata huku pm ujue π π π
nlikuwaga na dem wa sample yako... siku alinifuma na dem mwngne geto, kajiliza weeee, bdae nkamkumbatia nikamfuta chozi nkampeleka dinner af usiku akanipa yote kama kawaida.Sasa ni tunagombana live??
Yaani akinishika tu na kunyonya lips nimelegeaaπ€π€π€ akinituliza kifuani vimachozi kwa mbaliiiiii....ugomvi umeisha naufuta na neno nakupenda π«’
Hapana live siwezi
Nyie mnacheleweshaga mamboIkifika zamuyetu wapenda kubembelezwa mniite πππ
Huyo alikuwa anakupenda sananlikuwaga na dem wa sample yako... siku alinifuma na dem mwngne geto, kajiliza weeee, bdae nkamkumbatia nikamfuta chozi nkampeleka dinner af usiku akanipa yote kama kawaida.
Yani nisipodekezwa sisikii Raha hata kuwa na mwanaume hadeki kidogo ananikata stim napenda anitume tume π€£π€£π€£Nyie mnacheleweshaga mambo
Hii aina waende pepon kwa kwel. ππHuyo alikuwa anakupenda sana
My sis alimfumania mpenzwake na mwanamke Tena alianza kusikiliza tangu wanaanza ππhad wanamalizia ndo kaingia Cha ajabu akabembelezwa usiku ule ule nae akalala pale pale πππ
π ooh... kile kisauti cha kuongelea chini ya koo kinanishindaga kiukwelYani nisipodekezwa sisikii Raha hata kuwa na mwanaume hadeki kidogo ananikata stim napenda anitume tume π€£π€£π€£
Nyie ndo mnanitamanishaga kuolewa ila ukipita kwingine unakutana na habari za baltazar na masulia wake naamua kutulia kwanza π π π πKugombana live inahitaji moyo sana, akishasema tu βsasa mke wanguβ¦β¦β Ugomvi unaishia hapo hapo! π
Nimecheka sana suala la masulia π€£Nyie ndo mnanitamanishaga kuolewa ila ukipita kwingine unakutana na habari za baltazar na masulia wake naamua kutulia kwanza π π π π
πππNimecheka sana suala la masulia π€£