Kuna watu hufa mara mbili

Kuna watu hufa mara mbili

Nimetoka kilingeni mbere[emoji3] [emoji3] [emoji115]
Sawa mkuu huu ndo muda anapitaga mtoa roho za watu.
mi nasubiri apite ndo nilale asije ntoa roho yangu mimi nikiwa usingizini nikawaachia watu huyu mtoto mzuri hapa kitandani
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1]
 
Sawa mkuu huu ndo muda anapitaga mtoa roho za watu.
mi nasubiri apite ndo nilale asije ntoa roho yangu mimi nikiwa usingizini nikawaachia watu huyu mtoto mzuri hapa kitandani
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji12] [emoji12] [emoji115] nisalimie sana
 
Dead-Bodies.jpg
 
Weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, thubutuuuuuuuuu sikanyagi hukooooooooo hata iweje labda niwe mfu
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji121] [emoji121] [emoji121] [emoji121] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji121] [emoji121] [emoji121] [emoji121] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Kuaga maiti tu huwa nahisi nguvu zinaniisha mwilini kama nataka kudondoka ije huko hapana asee
 
Kuaga maiti tu huwa nahisi nguvu zinaniisha mwilini kama nataka kudondoka ije huko hapana asee
Nakushauri njoo siku moja walau tukae hata lisaa.. Utaona mengi utajifunza mengi na woga utapungua
 
Nakushauri njoo siku moja walau tukae hata lisaa.. Utaona mengi utajifunza mengi na woga utapungua

Hivi huko si maiti zingie kama sio nyingi huwa ni migomba? maana zamani tunasimuliwa wachawi wakibeba mtu wanaweka mgomba?

je unaziona huu ni mgomba sio mtu?
 
Hivi huko si maiti zingie kama sio nyingi huwa ni migomba? maana zamani tunasimuliwa wachawi wakibeba mtu wanaweka mgomba?

je unaziona huu ni mgomba sio mtu?
Kwa macho ya kawaida zote ni maiti
 
Hapana sijawahi pia.. Niamini nikuambiacho.. Kweli kabisa sijawahi kuwanga hata kwa fikra tuu

waefeso 6:12

12 Kwa maana kushindana kwetu sisisi juu ya damu na nyama;bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.

wewe cheo chako ni kipi hapo?
 
Back
Top Bottom