Kuna watu hufa mara mbili

Kuna watu hufa mara mbili

Unaweza kudhani ni stori za kijiweni au kufikirika lakini haya mambo yapo na uzoefu wangu wa kuhudumia wafu ulinifanya nikutane naye.

Kuna watu hufa mara mbili na mara nyingi ikiwa ni usiku, wahudumu wa mochwari wanalifahamu hili vema! Unaletewa mwili uuhifadhi kwenye jokofu lakini kwa wakati huo majokofu aidha yamejaa au kuna miili mingi inahitaji kuipanga vema kabla hujaiload kwenye jokofu.

Miili yote inayoletwa mochwari imeshathibitishwa na daktari kwa maandishi kuwa huyu ni marehemu/maiti hana uhai tena hapumui na ni mzoga lakini ukiwa kwenye harakati za kupanga hizo maiti ghafla mojawapo ya maiti inasimama wima na kutaka kupiga hatua huku macho bila kupepesa yakiwa yamemtoka pima! !! Huna jinsi unaisindikiza na teke irudi ilipokuwa na baada ya hapo hainyanyuki tena.

Mochwari kuna mengi ya ajabu ya kutisha na kustaajabisha na wahudumu wa huko wanaona mengi! Lakini kitu kisicho na majibu ni kwamba kwanini kuna maiti hua zinafufuka na kufa tena ?

Bado kuna mengi hatuyajui.
niliwahi kupiga story na mortuary attendant mmoja akasema kuna wengine huwa wanaamkia huko ndani lkn yeye akiona tayari huko nnje watu washapena taarifa na kupigiana simu kuwa mpendwa wao amekufa ni ngumu yeye kurudi kusema kuwa hajafa hivyo inabidi amalizie tu huko huko ndani ili story ibaki vile vile.
 
niliwahi kupiga story na mortuary attendant mmoja akasema kuna wengine huwa wanaamkia huko ndani lkn yeye akiona tayari huko nnje watu washapena taarifa na kupigiana simu kuwa mpendwa wao amekufa ni ngumu yeye kurudi kusema kuwa hajafa hivyo inabidi amalizie tu huko huko ndani ili story ibaki vile vile.
Ni kweli lakini matukio haya ni ya siri sana na sio mengi
 
niliwahi kupiga story na mortuary attendant mmoja akasema kuna wengine huwa wanaamkia huko ndani lkn yeye akiona tayari huko nnje watu washapena taarifa na kupigiana simu kuwa mpendwa wao amekufa ni ngumu yeye kurudi kusema kuwa hajafa hivyo inabidi amalizie tu huko huko ndani ili story ibaki vile vile.
Eeh Jamani watu wa mortuary 🙆
 
Unaweza kudhani ni stori za kijiweni au kufikirika lakini haya mambo yapo na uzoefu wangu wa kuhudumia wafu ulinifanya nikutane naye.

Kuna watu hufa mara mbili na mara nyingi ikiwa ni usiku, wahudumu wa mochwari wanalifahamu hili vema! Unaletewa mwili uuhifadhi kwenye jokofu lakini kwa wakati huo majokofu aidha yamejaa au kuna miili mingi inahitaji kuipanga vema kabla hujaiload kwenye jokofu.

Miili yote inayoletwa mochwari imeshathibitishwa na daktari kwa maandishi kuwa huyu ni marehemu/maiti hana uhai tena hapumui na ni mzoga lakini ukiwa kwenye harakati za kupanga hizo maiti ghafla mojawapo ya maiti inasimama wima na kutaka kupiga hatua huku macho bila kupepesa yakiwa yamemtoka pima! !! Huna jinsi unaisindikiza na teke irudi ilipokuwa na baada ya hapo hainyanyuki tena.

Mochwari kuna mengi ya ajabu ya kutisha na kustaajabisha na wahudumu wa huko wanaona mengi! Lakini kitu kisicho na majibu ni kwamba kwanini kuna maiti hua zinafufuka na kufa tena?

Bado kuna mengi hatuyajui.
Chato tunaita idle talk
 
Tafadhali mkuu nipe uzoefu wako kiimani juu ya Watu waliokufa walioaminika walisimamia Imani ya Mungu Baba kwa ukweli na kwa udhubutu. Je ni kweli hata kufa kwao ni kwa kawaida na kusiko na masumbufu?
Na niliwahi sikia kuna Mtu alisadikika aliishi vyema kwa imani kamili na mwili wake ulikuja julikana baada ya kama siku Tatu baada ya kufa kwake na mwili haujaharibika bado je hii inawezekana?
 
Tafadhali mkuu nipe uzoefu wako kiimani juu ya Watu waliokufa walioaminika walisimamia Imani ya Mungu Baba kwa ukweli na kwa udhubutu. Je ni kweli hata kufa kwao ni kwa kawaida na kusiko na masumbufu?
Na niliwahi sikia kuna Mtu alisadikika aliishi vyema kwa imani kamili na mwili wake ulikuja julikana baada ya kama siku Tatu baada ya kufa kwake na mwili haujaharibika bado je hii inawezekana?
Inawezekana kabisa na wenye heri wengi hulala milele bila maumivu wala mateso
 
Mkuu mshana banaa....kwahiyo ukamsindikiza na buti la tumbo au lauso!fanyaa mpango basi wa majii ya maiti mkuu Kuna deal
 
Mkuu mshana banaa....kwahiyo ukamsindikiza na buti la tumbo au lauso!fanyaa mpango basi wa majii ya maiti mkuu Kuna deal
[emoji3][emoji3][emoji3]unataka kiasi gani
 
Back
Top Bottom