ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kuna Wale Watu wa kujichanganya na watu wa namna zote wenye hela na wasio nazo, wanywa bia na wanywa gongo huwa wananifurahisha sana pale wanapopata hela yaani moyo hautulii mpaka hela iishe.
Na kati ya maskini na matajiri nimejifunza wanaoongoza Kwa dharau ni maskini hawahawa wanywa gongo yaani mtu wao akiishiwa hela wanaanza kumcheka live live achilia mbali kumsengenya wanamchana bila kupepesa kwamba akiwa nazo huwa anawakimbia anakwenda kwenye viti virefu kula bia na kitimoto zikiisha ndo anarudi kwao hata kama huwa anawanunulia sana.
Ila sasa utashangaa mtu anapondwa hivyo lakini ndo anazidi kupenda maneno hayo ya vijembe huku akiwaomba omba yaani maisha yale ya kuunga unga kipindi anasubiri michoro mingine ye ndo anenjoy zaidi kumkopa kopa muuza pombe kudharaulika
Na kati ya maskini na matajiri nimejifunza wanaoongoza Kwa dharau ni maskini hawahawa wanywa gongo yaani mtu wao akiishiwa hela wanaanza kumcheka live live achilia mbali kumsengenya wanamchana bila kupepesa kwamba akiwa nazo huwa anawakimbia anakwenda kwenye viti virefu kula bia na kitimoto zikiisha ndo anarudi kwao hata kama huwa anawanunulia sana.
Ila sasa utashangaa mtu anapondwa hivyo lakini ndo anazidi kupenda maneno hayo ya vijembe huku akiwaomba omba yaani maisha yale ya kuunga unga kipindi anasubiri michoro mingine ye ndo anenjoy zaidi kumkopa kopa muuza pombe kudharaulika