Kuna watu makatili kweli kweli, achoma paka moto akiwa hai

Niligombana na baba yangu alitaka kuwa mbwa wetu kisa wanakula mayai kwanini iwe hivyo mnyama hajawahi kuwa na rasilimali yoyote,wao wanaishi kwa kututegemea sisi na hii ni kwa sababu tuliwakalibisha nyumbani
 

paka ni kama kuku wa mayai,yaani kadri mazingira yalivyo bora anazidi kuzaa.
 
Wewe na paka akili zenu zinafanana.

Kama huwezi kuelewa kwamba paka hana utashi, basi kwa hakika wewe na yeye tofauti yenu ni kiwiliwili tu.
 
Jamaa mkatili sana ,'eti mmwagie mafuta alowane kabisa😁 dahh huruma sana
 
We jamaa bwana huruma yako haina logic

Kwani unapowafuga hao kuku wanakua kama sehemu ya familia au ni kwa ajili ya biashara.

Mbona ukiwauza na kupata pesa husikitiki.

Usitupige kamba mkuu.
 
Hujawahi kupata hasara wewe
 
Yule alifanya makusudi ka fungua friji kaangusha sufuria zima mchuzi wote na samaki kibao chini katafuna,mi narudi na njaa zangu kwanza kachafua jiko msosi kamaliza dah nilikasirika haswa.
 
Napenda wanyama ila paka aisee sipendi. Mbwa hata umpige vipi, hawezi kukugeuka zaidi ya kukimbia ili hasira ipungue. Ila paka anakugeuka kabisa ili mpambane.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ahaaaa mbavu zangu
 
OhOhOh; mkuu, paka ni wa kwake au ni paka wa jirani au mwenye paka huyo hafahamiki au ni paka shume/wa porini?
Aisee Mangi; Kama ni paka wa kwako au jirani hujatenda vema. Je, umewakinga kuku wako kwa uzio/wavu ili paka, kicheche, Kenge , nyoka wasiweze kuingia? Maskini paka alikuwa hajui kwamba alikuwa anawinda na kula kisichoruhusiwa.
Kuna njia za kumfundisha paka au mbwa asiwinde au kula mifugo ya hapo nyumbani.Mara nyingi kutumia ile mitego ya chuma ya kubamiza (Maarufu kama mitego ya panya). Haitamwua lakini cha moto atakiona kwani atabamizwa pua au atanaswa mguu na hawezi kujitoa mwenyewe.
 
Nakumbuka kipindi nikiwa nmeua form4 nilianza ufugaji wa kanga(ndege) nikichukua mayai ya kanga natamishia kuku nilibahatika kupata vifaranga 54 ila bahati mbaya paka walifanya lile banda ndio shishi food namuunga mkono mdau alichofanya!
 
Nakumbuka kipindi nikiwa nmeua form4 nilianza ufugaji wa kanga(ndege) nikichukua mayai ya kanga natamishia kuku nilibahatika kupata vifaranga 54 ila bahati mbaya paka walifanya lile banda ndio shishi food namuunga mkono mdau alichofanya!
Kumbe mpo wengi wa aina hiyo aisee?! Mdau mmoja hapo juu aliuliza : Kwa kumwua huyo paka mla vifaranga kwa mateso makali vile, je, vifaranga au hasara imerudi? Hajapata jawabu. Nina hamu ya kumsikia Mangi amejibu vipi hilo swali. 🤣 🤣
 
Ukatili wake uko wapi hapo?


Nakumbuka miaka ile natoka shule saa 8, nakutana na paka anajifuta mashavu. Yan kala kipolo changu

Wanasema paka usimpige huku umefunga mlango.
Lakini mimi nilifunga mlango na madirisha. Ndani ya dakika 10 tulikaa meza ya maradhiano mwenyewe nilifungua mlango[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila yule paka hakuwai kuonekana tena pale kijijini. Nilimpa heavy heavy kiasi cha kwamba akaanza kuwa chui
Nikaona tusifike huku sasa
Tangu siku hiyo mimi na paka hatupendani
 
Huyu niliipat tu whatsap sio paka wangu wala paka wa jirani. Huyu mangi kamuua paka vibaya sana angeweza hata kwenda kumbwaga mbali na anapoishi. Mie nafuga ila kwa sasa sina mifugo wengi niko Manzese sasa na nimejenga vyema kwa hiyo sina usumbufu wa wanyama hao uliowataja na naishi ndani ya fence inasaidia.

Hiyo mitego nilishawahi iona Rombo, aisee ule mtego ambao upo kama mkasi mbwa akiweka mguu mpaka unakatika. Hata ule mtego sio poa cha msingi watu wazingatie kuna baadhi ya dawa zinafukuza wanyama kwa kuwa wanyama wanakuwa hawapendi harufu yake. Hata baadhi ya miti inafukuza ukipanda kwako. Ndo maana wamasai hawapati kuliwa mifugo yao ovyo, wanyama hawasgei kabisa kwenye mifugo yao. .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…