Kuna watu makatili kweli kweli, achoma paka moto akiwa hai

Kuna watu makatili kweli kweli, achoma paka moto akiwa hai

Paka mmwagie petrol afu uwashe, atachoma hata mtaa mzima kabla hajafa
 
Ukatili wake uko wapi hapo?


Nakumbuka miaka ile natoka shule saa 8, nakutana na paka anajifuta mashavu. Yan kala kipolo changu

Wanasema paka usimpige huku umefunga mlango.
Lakini mimi nilifunga mlango na madirisha. Ndani ya dakika 10 tulikaa meza ya maradhiano mwenyewe nilifungua mlango[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila yule paka hakuwai kuonekana tena pale kijijini. Nilimpa heavy heavy kiasi cha kwamba akaanza kuwa chui
Nikaona tusifike huku sasa
Tangu siku hiyo mimi na paka hatupendani

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilikuwa nafuga kuku tatizo likawa paka na mbwa, paka nilikuwa nawaua kirahisi rahisi sana' namning'iniza hata wiki ili wengine waogope kuja, na mara nyingi nilikuwa nawachoma wakiwa wazima halafu wakiiva vizuri baada ya siku 2,3 kuku wanawadonoa mpaka wanaisha kbs!

Siku nilitegesha mbwa wakaingia wawili ktk purukushani za kutaka kuwaua wakajikuta wamejificha ndani ya bafu la nje ambalo mara nyingi halitumiki.

Niliwafungia mlango nikatoa petrol kwenye gari nikawamwagia kupitia dirishani, nikawasha karatasi nikatupiamo!

Mlipuko wake ulikuwa ni kama bomu! Baada ya kama dk mbili nikafungua mlango nikawakuta wamenyooka ngozi imecrack kila mahali hakuna nyoya hata moja! Wanatoa mafuta wanahema kwa mbaali. sikutaka wafie mule ndani nikafungua bomba la mvua, ilikuwa usiku sana moja nikamkata mkia asubui nimeamka nikakuta wameondoka! Hajaja mbwa tena pale!
 
Nilikuwa nafuga kuku tatizo likawa paka na mbwa, paka nilikuwa nawaua kirahisi rahisi sana' namning'iniza hata wiki ili wengine waogope kuja, na mara nyingi nilikuwa nawachoma wakiwa wazima halafu wakiiva vizuri baada ya siku 2,3 kuku wanawadonoa mpaka wanaisha kbs!

Siku nilitegesha mbwa wakaingia wawili ktk purukushani za kutaka kuwaua wakajikuta wamejificha ndani ya bafu la nje ambalo mara nyingi halitumiki.

Niliwafungia mlango nikatoa petrol kwenye gari nikawamwagia kupitia dirishani, nikawasha karatasi nikatupiamo!

Mlipuko wake ulikuwa ni kama bomu! Baada ya kama dk mbili nikafungua mlango nikawakuta wamenyooka ngozi imecrack kila mahali hakuna nyoya hata moja! Wanatoa mafuta wanahema kwa mbaali. sikutaka wafie mule ndani nikafungua bomba la mvua, ilikuwa usiku sana moja nikamkata mkia asubui nimeamka nikakuta wameondoka! Hajaja mbwa tena pale!
Sasa huu ni ushetani, kwanza shetani nae atakukana aisee
 
Nimefuga kuku sana wa kienyeji mbegu za hapa hapa nchini, mbegu ya malawi (wale weusi tiiii) na mbegu ya Kuroiler. Kwa kweli inauma sana pale kuku anapokufa mda mwingine unakosa hadi raha. Kuna kuku kishingo kila nikiingia kwenye malazi ya kuku huwa alikuwa ananifata nyuma nyuma nikstokea kumpenda sana yule kuku. Siku mojan nimedamka mapema kwenda kulisha kuku nikakuta kuku wangu kishingo kadanja nilikosa raha siku nzima. Baba yangu mdogo mfugaji nae alikuja nisabahi home ile kunikuta na simanzi akanitusi acha ufala wewe akisema “mimi nafuga ngombe na mbuzi na wanakufa, wewe kafa kuku unatia huruma, angekufa ngombe wa million 3 si ungekufa??” hahah

Nimeandika haya nikimfikiria huyu mchaga ana roho ya namna gani kuchoma paka moto. Mie kama kuna paka anakula mifugo ningemuwekea sumu kwenye samaki. Lakini huyu jamaa ana roho ya namna gani. Mimi ni mchaga wa mkuu Rombo lakini aisee kuna wachaga wana roho ngumu sana. Nawataadharisha wale wenye wenza wa kichaga chungeni sana kuweni makini mnooo...

View attachment 2004793

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ni njaa tu mkuu,miaka fulani nikiwa kijana nilifuga paka.
Akawa mkubwa haswa na kanenepa sana kwa ajili ya lishe.
Yule paka aligeuka sana badae ikawa kero.
Kwanza hakai ndani, ye ni kupigwa miti tu nje huko.
Ikawa kero.
Siku kafungua friji kala samaki woote.
(Sijui alihonga)
Hapo sina plan ingine ya msosi.
E bana siku hiyo nikapanga mauaji.
Karudi jioni hivi zile hasira nimemkuta jikoni nikafunga mlango nikarudi na gongo.
Kama la kuchezea golf
Hiyo mechi humo ndani
Ilikua balaa.
Nilimkosakosa na ye alinikosa kunitoboa macho mpaka nikafungua mlango mwenyewe akakimbia kutoka hakurudi tena.
Sijawahi kupenda paka tena

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimesema KUNA wachaga sijasema wachaga wote
Naona umekuja kuwatetea wachaga
Mwanangu acha hizo

Achana na huyo pimbi ,
We tupe burudani huu uzi nimecheka sana na nilivoona iyo clip nikakumbuka matukio ya paka .....
 
Ukatili wa binadamu wengi huwa sio wa kuiga ni kitu ambacho mtu anazaliwa nacho...
 
Habarini wakuu Naomba Msaada Tafadhali Nikifungua Attachment Kama hiyo Inagoma inanirudisha Mwanzo kabisa (home) Nifanyeje ili Niweze kuplay video yahivyo
Screenshot_20220421-121838.jpg
 
Ni njaa tu mkuu,miaka fulani nikiwa kijana nilifuga paka.
Akawa mkubwa haswa na kanenepa sana kwa ajili ya lishe.
Yule paka aligeuka sana badae ikawa kero.
Kwanza hakai ndani, ye ni kupigwa miti tu nje huko.
Ikawa kero.
Siku kafungua friji kala samaki woote.
(Sijui alihonga)
Hapo sina plan ingine ya msosi.
E bana siku hiyo nikapanga mauaji.
Karudi jioni hivi zile hasira nimemkuta jikoni nikafunga mlango nikarudi na gongo.
Kama la kuchezea golf
Hiyo mechi humo ndani
Ilikua balaa.
Nilimkosakosa na ye alinikosa kunitoboa macho mpaka nikafungua mlango mwenyewe akakimbia kutoka hakurudi tena.
Sijawahi kupenda paka tena
Mkuu usije kurudia huu mchezo, angekumaliza. Paka akichukia ni chui kabisa
 
Nilikuwa napenda kuwakata mijusi mkia nikiwa wadogo
Tulikuwa tunaaminishwa ukiwa unaua mijusi utakuja kutetemeka ukubwani

Ila roho hiyo mimi binafsi sina. Unaweza kukuta jamaa alilelewa na parokia ila tabia zake tu
Kweli aisé nimeua sana mijusi yani khaa mijusi niliyoua ningeitwa Hitler
 
Back
Top Bottom