Kuna watu makatili kweli kweli, achoma paka moto akiwa hai

Paka mmwagie petrol afu uwashe, atachoma hata mtaa mzima kabla hajafa
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilikuwa nafuga kuku tatizo likawa paka na mbwa, paka nilikuwa nawaua kirahisi rahisi sana' namning'iniza hata wiki ili wengine waogope kuja, na mara nyingi nilikuwa nawachoma wakiwa wazima halafu wakiiva vizuri baada ya siku 2,3 kuku wanawadonoa mpaka wanaisha kbs!

Siku nilitegesha mbwa wakaingia wawili ktk purukushani za kutaka kuwaua wakajikuta wamejificha ndani ya bafu la nje ambalo mara nyingi halitumiki.

Niliwafungia mlango nikatoa petrol kwenye gari nikawamwagia kupitia dirishani, nikawasha karatasi nikatupiamo!

Mlipuko wake ulikuwa ni kama bomu! Baada ya kama dk mbili nikafungua mlango nikawakuta wamenyooka ngozi imecrack kila mahali hakuna nyoya hata moja! Wanatoa mafuta wanahema kwa mbaali. sikutaka wafie mule ndani nikafungua bomba la mvua, ilikuwa usiku sana moja nikamkata mkia asubui nimeamka nikakuta wameondoka! Hajaja mbwa tena pale!
 
Sasa huu ni ushetani, kwanza shetani nae atakukana aisee
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimesema KUNA wachaga sijasema wachaga wote
Naona umekuja kuwatetea wachaga
Mwanangu acha hizo

Achana na huyo pimbi ,
We tupe burudani huu uzi nimecheka sana na nilivoona iyo clip nikakumbuka matukio ya paka .....
 
Ukatili wa binadamu wengi huwa sio wa kuiga ni kitu ambacho mtu anazaliwa nacho...
 
Habarini wakuu Naomba Msaada Tafadhali Nikifungua Attachment Kama hiyo Inagoma inanirudisha Mwanzo kabisa (home) Nifanyeje ili Niweze kuplay video yahivyo
 
Mkuu usije kurudia huu mchezo, angekumaliza. Paka akichukia ni chui kabisa
 
Nilikuwa napenda kuwakata mijusi mkia nikiwa wadogo
Tulikuwa tunaaminishwa ukiwa unaua mijusi utakuja kutetemeka ukubwani

Ila roho hiyo mimi binafsi sina. Unaweza kukuta jamaa alilelewa na parokia ila tabia zake tu
Kweli aisé nimeua sana mijusi yani khaa mijusi niliyoua ningeitwa Hitler
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…