Kuna Watu nawaona wanajifanya kuitakia Mema Yanga SC ila Mioyoni mwao Usununu (Chuki) imewajaa

Nitakuwepo basi na mimi Karimjee niage.
 
Rest in peace [emoji17]
 
Nitakwita kwa jina lako la Kizanaki
 
Nikweli hatupendi uto achukue kombe hili, lakini ukimwangalia usm alger eti ndo amzuie huyu uto? Hapana nakataa kabisa.
 
We chizi fresh nakupa taarifa tu kuwa hapa duniani hakuna timu inaitwa USM algiers bali ni USM Alger. Tunajua huna akili kwa sababu ya ufupi na kitambi ila ficha ujinga wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…