Kuna watu ndani ya CCM wanatumika na Upinzani, wana nia ovu kwa Rais. Huu mtego tumeugundua

Kuna watu ndani ya CCM wanatumika na Upinzani, wana nia ovu kwa Rais. Huu mtego tumeugundua

Sijaamini hiki nachosikia nikiwa hapa Dodoma sehemu moja maarufu kwa makada wa Chama.

Kuna mwendawazimu mmoja. Mi namwita mwendawazimu sababu hawezi kuwa na akili timamu akashadadia Mdahalo wa Ugombea wa Urais 2025. Hakuna ndani ya CCM mwenye akili timamu anaweza shadadia hilo.

Huyu inaonekana anatumika au ni kundi lisilomheshimu samia suluhu. Ni kuwa na nia ya dhati kutaka mdhalilisha ili ndo watu wapige mhuri na kusema "Mnaona? Sisi tuliwaambia!" huwezi mweka samia kwenye mdahalo na watu kama Mbowe, Hashimu Rungwe hata na GodB Lema. Hapo Mtukutu wa akili Tundu Lissu asiwekwe kundi hilo.

Hayo yatakuwa ni mauaji ya kukusudia ya kinyama na kikatili sana. Si sawa hata kidogo na ni kutaka kumkosea heshima rais. Kutaka adhalilishwe kisha mpate ya kuzungumza.

Huo mtego hautupati na tumeuona. Mdahalo fanyeni wenyewe rais mwacheni apumzike. Kwanza wakati wa Mdahalo atakuwa nje ya nchi mapumzikoni au kutafuta sponsors.

Hakuna Mdahalo ataoshiriki samia. Naapa hautatokea. Na hata akishinikizwa naamini hatokubali kabisa.
HAYA MAANDISHI THAMANI YAKE NI KAMA TIOILET PAPER
 
Sijaamini hiki nachosikia nikiwa hapa Dodoma sehemu moja maarufu kwa makada wa Chama.

Kuna mwendawazimu mmoja. Mi namwita mwendawazimu sababu hawezi kuwa na akili timamu akashadadia Mdahalo wa Ugombea wa Urais 2025. Hakuna ndani ya CCM mwenye akili timamu anaweza shadadia hilo.

Huyu inaonekana anatumika au ni kundi lisilomheshimu samia suluhu. Ni kuwa na nia ya dhati kutaka mdhalilisha ili ndo watu wapige mhuri na kusema "Mnaona? Sisi tuliwaambia!" huwezi mweka samia kwenye mdahalo na watu kama Mbowe, Hashimu Rungwe hata na GodB Lema. Hapo Mtukutu wa akili Tundu Lissu asiwekwe kundi hilo.

Hayo yatakuwa ni mauaji ya kukusudia ya kinyama na kikatili sana. Si sawa hata kidogo na ni kutaka kumkosea heshima rais. Kutaka adhalilishwe kisha mpate ya kuzungumza.

Huo mtego hautupati na tumeuona. Mdahalo fanyeni wenyewe rais mwacheni apumzike. Kwanza wakati wa Mdahalo atakuwa nje ya nchi mapumzikoni au kutafuta sponsors.

Hakuna Mdahalo ataoshiriki samia. Naapa hautatokea. Na hata akishinikizwa naamini hatokubali kabisa.
Defensive mechanism hii, baada ya kuona kuwa bibi kichwa chake ni cheupe, hata kutaja mawaziri aliowateua hawezi
 
Sijaamini hiki nachosikia nikiwa hapa Dodoma sehemu moja maarufu kwa makada wa Chama.

Kuna mwendawazimu mmoja. Mi namwita mwendawazimu sababu hawezi kuwa na akili timamu akashadadia Mdahalo wa Ugombea wa Urais 2025. Hakuna ndani ya CCM mwenye akili timamu anaweza shadadia hilo.

Huyu inaonekana anatumika au ni kundi lisilomheshimu samia suluhu. Ni kuwa na nia ya dhati kutaka mdhalilisha ili ndo watu wapige mhuri na kusema "Mnaona? Sisi tuliwaambia!" huwezi mweka samia kwenye mdahalo na watu kama Mbowe, Hashimu Rungwe hata na GodB Lema. Hapo Mtukutu wa akili Tundu Lissu asiwekwe kundi hilo.

Hayo yatakuwa ni mauaji ya kukusudia ya kinyama na kikatili sana. Si sawa hata kidogo na ni kutaka kumkosea heshima rais. Kutaka adhalilishwe kisha mpate ya kuzungumza.

Huo mtego hautupati na tumeuona. Mdahalo fanyeni wenyewe rais mwacheni apumzike. Kwanza wakati wa Mdahalo atakuwa nje ya nchi mapumzikoni au kutafuta sponsors.

Hakuna Mdahalo ataoshiriki samia. Naapa hautatokea. Na hata akishinikizwa naamini hatokubali kabisa.
Baada ya kuvimbiwa tozo zetu unabwabwaja hovyo badala ya kukalisha hilo tracko chini
 
Sasa kama dunia ya sasa mnakaa midahalo rahisi kabisa ya wenyewe kwa wenyewe kwa kuwa na mashaka na uwezo wa mgombea wenu, sasa huyo mgombea wenu anaweza kweli kuwa fit for the office maana Ile ofisi inahitaji mtu mwenye akili, anayejuma, anayependa kusoma, akili iwe sharp na mtu mwenye uwezo wa kujibu maswali pamoja na kuhudhuria midahalo ndani na nje kuitetea nchi yake.
 
Sijaamini hiki nachosikia nikiwa hapa Dodoma sehemu moja maarufu kwa makada wa chama.

Kuna mwendawazimu mmoja. Mi namwita mwendawazimu sababu hawezi kuwa na akili timamu akashadadia Mdahalo wa Ugombea wa Urais 2025. Hakuna ndani ya CCM mwenye akili timamu anaweza shadadia hilo.

Huyu inaonekana anatumika au ni kundi lisilomheshimu samia suluhu. Ni kuwa na nia ya dhati kutaka mdhalilisha ili ndo watu wapige mhuri na kusema "Mnaona? Sisi tuliwaambia!" huwezi mweka samia kwenye mdahalo na watu kama Mbowe, Hashimu Rungwe hata na GodB Lema. Hapo Mtukutu wa akili Tundu Lissu asiwekwe kundi hilo.

Hayo yatakuwa ni mauaji ya kukusudia ya kinyama na kikatili sana. Si sawa hata kidogo na ni kutaka kumkosea heshima rais. Kutaka adhalilishwe kisha mpate ya kuzungumza.

Huo mtego hautupati na tumeuona. Mdahalo fanyeni wenyewe rais mwacheni apumzike. Kwanza wakati wa Mdahalo atakuwa nje ya nchi mapumzikoni au kutafuta sponsors.

Hakuna Mdahalo ataoshiriki samia. Naapa hautatokea. Na hata akishinikizwa naamini hatokubali kabisa.
Rais wako si wetu.

Rais wa JMT lazima awe mtanganyika.Rais akitokea nchi ya Zanzibar ni fedhea na matusi makubwa kwa Tanganyika ambayo ina idadi ya watu zaidi ya 60 milioni huku nchi ya watu wa Zanzibar ikiwa na idadi ya watu wasiozidi 2 million.

Kwakuwa Rais wa JMT ni Rais wa Tanganyika hana mamlaka Zanzibar.

Kwakuwa Rais wa Zanzibar lazima awe Mzanzibar Mtanganyika hana nafasi ya kuongoza nchi ya Zanzibar basi na Mzanzibar ni haramu kuongoza Tanganyika.
 
Waachieni chadema tuone kama wataongoza nchi vyema
 
Sijaamini hiki nachosikia nikiwa hapa Dodoma sehemu moja maarufu kwa makada wa chama.

Kuna mwendawazimu mmoja. Mi namwita mwendawazimu sababu hawezi kuwa na akili timamu akashadadia Mdahalo wa Ugombea wa Urais 2025. Hakuna ndani ya CCM mwenye akili timamu anaweza shadadia hilo.

Huyu inaonekana anatumika au ni kundi lisilomheshimu samia suluhu. Ni kuwa na nia ya dhati kutaka mdhalilisha ili ndo watu wapige mhuri na kusema "Mnaona? Sisi tuliwaambia!" huwezi mweka samia kwenye mdahalo na watu kama Mbowe, Hashimu Rungwe hata na GodB Lema. Hapo Mtukutu wa akili Tundu Lissu asiwekwe kundi hilo.

Hayo yatakuwa ni mauaji ya kukusudia ya kinyama na kikatili sana. Si sawa hata kidogo na ni kutaka kumkosea heshima rais. Kutaka adhalilishwe kisha mpate ya kuzungumza.

Huo mtego hautupati na tumeuona. Mdahalo fanyeni wenyewe rais mwacheni apumzike. Kwanza wakati wa Mdahalo atakuwa nje ya nchi mapumzikoni au kutafuta sponsors.

Hakuna Mdahalo ataoshiriki samia. Naapa hautatokea. Na hata akishinikizwa naamini hatokubali kabisa.
Mbona wew ndo mwendawazimu ulietumwa 😂😂😂.Makonda aliomba mdaharo mkapita kushoto sembuse samia
 
Je upo poa? Naona jina la Hashim Ringer hapo. Kabla ya kutukana wenzako, jitafakari
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 aiseeehh Mkuu umefikiriaje hii ndo Jamani forums iliyopotea IMERUDI....
 
Sasa si mumurete kwenye mdaharo TUONE
Mdahalo si jambo la kushabikia...

Mfano uletwe mdahalo kuhusu katiba...

Lema ana uelewa wowote kuhusu katiba zaidi ya dondoo tu za kukalilishwa!

Mfano ukimuuliza kwanini anataka katiba mpya wakati kuna uwezekano wa kufanya mabadiliko (amendment) ataweza kujadili?
 
Sijaamini hiki nachosikia nikiwa hapa Dodoma sehemu moja maarufu kwa makada wa chama.

Kuna mwendawazimu mmoja. Mi namwita mwendawazimu sababu hawezi kuwa na akili timamu akashadadia Mdahalo wa Ugombea wa Urais 2025. Hakuna ndani ya CCM mwenye akili timamu anaweza shadadia hilo.

Huyu inaonekana anatumika au ni kundi lisilomheshimu samia suluhu. Ni kuwa na nia ya dhati kutaka mdhalilisha ili ndo watu wapige mhuri na kusema "Mnaona? Sisi tuliwaambia!" huwezi mweka samia kwenye mdahalo na watu kama Mbowe, Hashimu Rungwe hata na GodB Lema. Hapo Mtukutu wa akili Tundu Lissu asiwekwe kundi hilo.

Hayo yatakuwa ni mauaji ya kukusudia ya kinyama na kikatili sana. Si sawa hata kidogo na ni kutaka kumkosea heshima rais. Kutaka adhalilishwe kisha mpate ya kuzungumza.

Huo mtego hautupati na tumeuona. Mdahalo fanyeni wenyewe rais mwacheni apumzike. Kwanza wakati wa Mdahalo atakuwa nje ya nchi mapumzikoni au kutafuta sponsors.

Hakuna Mdahalo ataoshiriki samia. Naapa hautatokea. Na hata akishinikizwa naamini hatokubali kabisa.
Dah nlidhani umeandika cha maana nikajitahidi kusoma yote kumbe ndo mweupe hivi kichwani aliye kwambia mdahalo upo kwajili ya kudhalilisha ni nni na kama mnajiamini mmewatendea haki wanachi kinacho wapa woga nini? …. Bado hamjasma
 
Sijaamini hiki nachosikia nikiwa hapa Dodoma sehemu moja maarufu kwa makada wa chama.

Kuna mwendawazimu mmoja. Mi namwita mwendawazimu sababu hawezi kuwa na akili timamu akashadadia Mdahalo wa Ugombea wa Urais 2025. Hakuna ndani ya CCM mwenye akili timamu anaweza shadadia hilo.

Huyu inaonekana anatumika au ni kundi lisilomheshimu samia suluhu. Ni kuwa na nia ya dhati kutaka mdhalilisha ili ndo watu wapige mhuri na kusema "Mnaona? Sisi tuliwaambia!" huwezi mweka samia kwenye mdahalo na watu kama Mbowe, Hashimu Rungwe hata na GodB Lema. Hapo Mtukutu wa akili Tundu Lissu asiwekwe kundi hilo.

Hayo yatakuwa ni mauaji ya kukusudia ya kinyama na kikatili sana. Si sawa hata kidogo na ni kutaka kumkosea heshima rais. Kutaka adhalilishwe kisha mpate ya kuzungumza.

Huo mtego hautupati na tumeuona. Mdahalo fanyeni wenyewe rais mwacheni apumzike. Kwanza wakati wa Mdahalo atakuwa nje ya nchi mapumzikoni au kutafuta sponsors.

Hakuna Mdahalo ataoshiriki samia. Naapa hautatokea. Na hata akishinikizwa naamini hatokubali kabisa.
Mambo ya kizamani akili kubwa haiwezi kujadi huu upuuzi
 
Sijaamini hiki nachosikia nikiwa hapa Dodoma sehemu moja maarufu kwa makada wa chama.

Kuna mwendawazimu mmoja. Mi namwita mwendawazimu sababu hawezi kuwa na akili timamu akashadadia Mdahalo wa Ugombea wa Urais 2025. Hakuna ndani ya CCM mwenye akili timamu anaweza shadadia hilo.

Huyu inaonekana anatumika au ni kundi lisilomheshimu samia suluhu. Ni kuwa na nia ya dhati kutaka mdhalilisha ili ndo watu wapige mhuri na kusema "Mnaona? Sisi tuliwaambia!" huwezi mweka samia kwenye mdahalo na watu kama Mbowe, Hashimu Rungwe hata na GodB Lema. Hapo Mtukutu wa akili Tundu Lissu asiwekwe kundi hilo.

Hayo yatakuwa ni mauaji ya kukusudia ya kinyama na kikatili sana. Si sawa hata kidogo na ni kutaka kumkosea heshima rais. Kutaka adhalilishwe kisha mpate ya kuzungumza.

Huo mtego hautupati na tumeuona. Mdahalo fanyeni wenyewe rais mwacheni apumzike. Kwanza wakati wa Mdahalo atakuwa nje ya nchi mapumzikoni au kutafuta sponsors.

Hakuna Mdahalo ataoshiriki samia. Naapa hautatokea. Na hata akishinikizwa naamini hatokubali kabisa.
Umeeleweka!
Nami nakazia haiwekani.
Tena ni marufuku bora twende hivi hivi.
 
Hizi ni dharau kwa taasisi ya urais.

Mbowe ambaye ni form six failure na Ngumbaru Lema wamshinde hoja Mh Samia?

Mtoa mada acha dharau.
Aisee ni hasara sana kuwa na mke kama wewe kwahiyo kipimo cha mtu kuelewa mambo ni mpaka aende chuo kikuu?
 
Back
Top Bottom