Kuna Watu ni wabinafsi, ila Mchepuko wangu kazidi. Nimemnyoosha

Ni dhaifuu au mjinga?[emoji14][emoji14]
 
[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji23]

Evelyn Salt
 
Duh, halafu katika familia na ukoo wenu unaheshimika na kutoa ushauri halafu watu wakaufuata!!!!!!!!!!!! Yaani unaonekana bonge la kichwa yaani umejaaliwa akili nyingi!!!!!!!!!!!!!!!!! Halafu mtu mwenyewe.................

Nb: Ni chai kama chai.
 
Duuuh hii story ndefu me nilijua ya kusadikika tu,ila mazingira haya ulimuandalia mapema huyo mchepuko(mwanamke),ila zinaa gharama
 
Ma Jay angekua mchaga au mdada mwenye akili angekua amejenga au Ana businesses yake ya kueleweka tuu!!maana posho anapewa,analipiwa chumba plus mazaga mengine!
Yaani angejielewa angekua mbaa mnooo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Usiache kutuletea yanayojiri huko Mr pond,mie nafurahia drama za mchepuko wako,tabia za ma j nausumbufu wake zinafurahisha, achana nawatakatifu wahumu wanaopondea huku kumbe Wana michepuko kila kituo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…