Kuna Watu ni wabinafsi, ila Mchepuko wangu kazidi. Nimemnyoosha

Kuna Watu ni wabinafsi, ila Mchepuko wangu kazidi. Nimemnyoosha

Mwanamke Malaya Ni Malaya TU,
Mwanaume ukikosea kuoa, ukaweka ndani mwanamke Malaya jua hiyo imekula kwako. Watakugongea Sana TU.

Nnachojua
Hakuna excuse yoyote kujitetea mwanamke malaya akifanya umalay wake.

Wapo Wanawake wajane,waliaochwa na walio single wengi sana wanaojitunza mpk wanakufa hawajashiriki mapenz na wanaume tofauti na waume zao.

Tusipende sana kugeneralize mambo
Wapo Wanawake wengi wanajiheshimu na kuheshimu ndoa zao.

MKE wangu Ni mmoja wapo,
namshkuru sana mungu na wake zangu
Kwa kunipatia zawadi Hii ya mke Bora na mama Bora wa watoto wangu.
Mkuu tatizo ujitoi sana kwa mke wako nguvu zako umewekeza kwa mchepuko me nakushauri kama rafiki yako aachana na huyo mamajay ukutakiwa kujenga kibanda mkuu pale wewe ungekuwa unapiga tu unasepa mnakutana tu Kwenye mnyanduani lakini isiwe kama unavyofanya wewe hiyo hela unayopoteza hapo si Bora ukawekeza kwa mke wako na watoto wako ndio watu ambao hawatakuacha.

Mwanamke anaweza asiwe malaya ila Wanawake ni dhaifu kama hautajitoa sana kwa mke wako wapo watu wenye vipawa vya ushawishi watafanya mkuu kwa mke wako
 
Mkuu tatizo ujitoi sana kwa mke wako nguvu zako umewekeza kwa mchepuko me nakushauri kama rafiki yako aachana na huyo mamajay ukutakiwa kujenga kibanda mkuu pale wewe ungekuwa unapiga tu unasepa mnakutana tu Kwenye mnyanduani lakini isiwe kama unavyofanya wewe hiyo hela unayopoteza hapo si Bora ukawekeza kwa mke wako na watoto hai ndio watu ambao hawatakuacha. Mwanamke anaweza asiwe malaya ila Wanawake ni dhaifu kama utajitoa sana kea mke wako wapo watu wenye vipawa vya ushawishi watafanya mkuu kea mke wako

Huwa tunapoteza nguvu kubwa kumshauri huyu jamaa lakini alipotumbukia ni Mungu pekee atamtoa.

Ukiwekeza kwenye mbususu utavuna umasikini na majuto mkuu.

Hawa viumbe hawa tunacheka nao lakini Mungu anawaona
 
Mkuu tatizo ujitoi sana kwa mke wako nguvu zako umewekeza kwa mchepuko me nakushauri kama rafiki yako aachana na huyo mamajay ukutakiwa kujenga kibanda mkuu pale wewe ungekuwa unapiga tu unasepa mnakutana tu Kwenye mnyanduani lakini isiwe kama unavyofanya wewe hiyo hela unayopoteza hapo si Bora ukawekeza kwa mke wako na watoto hai ndio watu ambao hawatakuacha. Mwanamke anaweza asiwe malaya ila Wanawake ni dhaifu kama utajitoa sana kea mke wako wapo watu wenye vipawa vya ushawishi watafanya mkuu kea mke wako
Uko sahii Sana,
Ila kusema simthamini MKE wangu hapo unakua unakosea Sana

Ulitaka nimnunulie pombe Kama mamaJ?
Hilo haliwezekani Maana MKE wangu hanywi pombe, starehe za baa na pombe Hana hobby nazo.

Kama Ni posho na miradi nmemfungulia, watoto nasomesha na uwekezaji mkubwa wa familia nmefanya na yeye.

Huku kwa mamaJ Ni starehe TU tunaenjoy ili anipe penzi. tunatumia TU kile Cha ziada, hata nyumba sijamjengea anakaa tu nyumba ya kupanga.

Kwaiyo huwezi mlinganisha mamaJ na MKE wangu kwa investment
 
Uko sahii Sana,
Ila kusema simthamini MKE wangu happy unakua unakosea Sana

Ulitaka nimnunulie pombe Kama mamaJ?
Hilo haliwezekani Maana MKE wangu hanywi pombe, starehe za baa na pombe Hana hobby nazo.

Kama Ni posho na miradi nmemfungulia, watoto nasomesha na uwekezaji mkubwa wa familia nmefanya na yeye.

Huku kwa mamaJ Ni starehe TU tunaenjoy ili anipe penzi. tunatumia TU kile Cha ziada, hata nyumba sijamjengea anakaa tu nyumba ya kupanga.

Kwaiyo huwezi mlinganisha mamaJ na MKE wangu kwa investment
Uwe makini tu usije akurudisha nyuma
 
Uko sahii Sana,
Ila kusema simthamini MKE wangu happy unakua unakosea Sana

Ulitaka nimnunulie pombe Kama mamaJ?
Hilo haliwezekani Maana MKE wangu hanywi pombe, starehe za baa na pombe Hana hobby nazo.

Kama Ni posho na miradi nmemfungulia, watoto nasomesha na uwekezaji mkubwa wa familia nmefanya na yeye.

Huku kwa mamaJ Ni starehe TU tunaenjoy ili anipe penzi. tunatumia TU kile Cha ziada, hata nyumba sijamjengea anakaa tu nyumba ya kupanga.

Kwaiyo huwezi mlinganisha mamaJ na MKE wangu kwa investment
Sawa kijana lkani hivi vidole vyote vinavyopoint kwako, kipo kidole kimoja kitakufikia kwenye jicho na ipo siku utaleta ushuhuda wa maumivu yake
 
Bora ungeenda Mawasiliano Park ungegawa elfu 30 kwa Bendi. Ungerushwa jina Papaa DeepPond Mutu ya Watu, mume ya Mama J baada ya kutajwa Mama Kabungo,Rahabu na Majinjah.
 
Mkuu mama j amedumu kama mchepuko Kwa Muda gani
 
Bora ungeenda Mawasiliano Park ungegawa elfu 30 kwa Bendi. Ungerushwa jina Papaa DeepPond Mutu ya Watu, mume ya Mama J baada ya kutajwa Mama Kabungo,Rahabu na Majinjah.
Ha ha ha...
Umetisha Sana baharia
Kiukweli kurusha hell siwezi
Wacongo ndo wanapigo hizo chief[emoji4]
 
[emoji23][emoji23]huyo mwanamke pasua kichwa na unamuendekeza fanya kum replace na yule dada mwenye mtoto anayejitahidi kurekebisha nyumba yake
Ila wanaume hawapendi michepuko yenye akili,wakikuona mchepuka unawaza Hadi kujenga nyumba utapigwa chini tu,michepuko inatakiwa kuwa ume loose but ndio wanaenjoy
 
Hivi unaagizaje amarula nne kwa mkupuo[emoji16][emoji16][emoji16]?au Mimi ndio sijaelewa hapa
Amarula ndogo,
hizi mamaJ Huwa anapiga hata 6
Cha muhimu usimnyime nyama choma
 
Kwa Nini haagizi ule mtulinga Sasa?
Baa nyng hasa hizi za mitaani kuipata kubwa Ni adimu, Wanasema kubwa hazitoki sana.
Ila kiuchumi kubwa ndo nzur Maana Ni nyingi, tofauti na hivi vidogo
 
Una mwanamke mswahili mno! Mwanamke anaendekeza mambo ya "mashoga" naelewa wazi kabisa kakufanyia nn hadi hupindui! Anyway, maisha ndo haya haya!
 
.
20220910_035151.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baa nyng hasa hizi za mitaani kuipata kubwa Ni adimu, Wanasema kubwa hazitoki sana.
Ila kiuchumi kubwa ndo nzur Maana Ni nyingi, tofauti na hivi vidogo
Ok,if that's the case....Ila mama J ataishi sana kwako😃
 
Back
Top Bottom