mkuu,
Utakua umeanza kufatilia habar za mamaJ juzi juzi TU Hapa, au Hauko updated vzur na yanayoendelea kwny nyuz hizi za mamaJ
Uzi uliopita Kuna mtu Kama wewe alileta hoja Kama zako, ikbd nilirekodi mazungumzo yangu ya sim na mamaJ kuhusiana na mgogoro tulokua nao kwny Uzi husika nikayaweka hapa.
Ila mtu mbishi Ni mbishi TU,
bado jamaabalinifata pm akibisha kua nimetengeneza sauti sio mamaJ na kuomba atumiwe video pm nikiwa mimi na mamaJ tunakiss. Ikabd nimpuuze tu
Unapaswa kujua siko Hapa kufurahisha genge, mamaJ yupo anafahamika na baadhi ya members wa humu mmu.
Na member wengine tumeku karibu kias hata sura wanamfahamu,wengine tushatoka nao kiwanja wanamjua na washakunywa nae bia.
Kama wao wapo interested watakuja kujitaja hapa, sio kazi yangu kuwaanika.