Kuna Watu ni wabinafsi, ila Mchepuko wangu kazidi. Nimemnyoosha

Umeongea point san. Muda mwngne inabd ufanye usawa kwa pesa unayotoa kwa mchepuko na mke aipate hiohio au zaid.
 
Tutumie picha ya mama J.
 
Umeongea point san. Muda mwngne inabd ufanye usawa kwa pesa unayotoa kwa mchepuko na mke aipate hiohio au zaid.
MKE wangu namhudumia ipasavyo,

Ndo Maana unaona katulia hanipi stress na hatugombani, Ingekua sio hivyo ndoa yangu ingekua na misukosuko Sana.

Na lazima ungekutana na Uzi wangu hata mmoja nikisapoti au kujutia kuoa,kuzipinga ndoa au nikimlalamikia MKE wangu,

Kiukweli Ni mke wangu Ni mwanamke Bora Sana nmepata maishani mwangu,
sijutii kumuoa wala kuishi nae Maana amekamilika kila idara Kama mama bora wa familia yangu.
 
Nina mwanagu mmoja anakwambia yy hatembei na mchepuko husio na hela na wengi single mothers, ila sasa wengi wao wanamkomalia awaoe.

Kuna huo mmoja wa Ubungo ilikuwa bado kidogo uhatarishe ndoa ya jamaa.
Mwamba unanifurahisha sana yaani wewe unaletaga tu story za rafiki zako sijawahi kusikia ya kwako hivi hupatagi changamoto za mahusiano? au upo single mpaka Leo?
 
Pump attendant aende kukagua mahesabu ya vituo vya mafuta mikoani.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Watu wa Finance hawapo?.

Anyway. Kuna watu Wana fantasy. We yakwako Ni kwenye mahusiano ya huyo mwanamke uliyemuumba, Mama Jay.

Unavyosema ulete story za uongo ili iweje.
Ni kwasababu ww unapenda attention..na njia nzuri uliyoona Ni Hiyo, kutumia story zenye muendelezo .

Yaan Kama Series na episode zake.

Sijui tuuiteje?..

Hayanihusu, Ila [emoji817] sio story za kweli.
Unazipa uhai.

I read btn the line kwenye kila story yako unayoileta, Ni vile Leo nikaamua niseme tu.
 
Mwamba unanifurahisha sana yaani wewe unaletaga tu story za rafiki zako sijawahi kusikia ya kwako hivi hupatagi changamoto za mahusiano? au upo single mpaka Leo?
Akikujibu nitag,
Rafiki yetu mambo yake yamenyooka straight
 
Mwamba unanifurahisha sana yaani wewe unaletaga tu story za rafiki zako sijawahi kusikia ya kwako hivi hupatagi changamoto za mahusiano? au upo single mpaka Leo?
Napataga mbona ila sijawahi kuandikaga thread, ila kuna thread za watu nyingi nishashare niliyo kutana nayo.
 
Ukifuatilia sana JF kila story chai sema zinatofautiana ladha
 
Ukifuatilia sana JF kila story chai sema zinatofautiana ladha
kuna Mikasa ya kweli kabisa. Unasoma na unahisi kabisa mtu kapatwa na Jambo.

Ila series za huyu jamaa na Mama J.
Sio za kweli.

Ni fantasy Yake.

Mama j is not real. Ni imaginary woman mwenye uhusiano na jamaa kwenye dunia yake kichwan.

Ninachomsifu, Ni jinsi anavyoweza kuipa uhalisia story ya Mama j.
 
Naona Umecheka Sana mkuu[emoji28]
Hapo kwwako ndo kigoma mwisho wa reli, hupindui

Na kama hii ishu ni kweli, basi mwanamke anajua kama we hupindui, ndio maana anajibu anavyojisikia.

Mama j unanikumbusha goma langu moja hivi, ila nishampotezea kabaki kuongea kwa watu tu, nimeoa naringa 😂🤣
 
Pump attendant aende kukagua mahesabu ya vituo vya mafuta mikoani.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Watu wa Finance hawapo?.
Kama hujui kitu uliza,

sio kujitia ujuaji usiokua na tija,
Alokwambia Watu wa finance ndo ukagua petrostations ni Nani?

Unajua mamaJ ana elimu gani?

Unajua aliajiliwa vipi na kwa nafasi ipi pale kazin kwake?

Au ndo umesoma elimu zenu za kukariri mavitabu yenu na kujitia ujuaji kila jambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…