Mwanasayansi Kalivubha
JF-Expert Member
- Feb 4, 2024
- 344
- 926
Kuna watu wanajikuta wanajibu kila tuhuma zinazosambazwa kuhusu wao ila kama wangefahamu akili za wanaowasambazia wangekaa tu kimya
UKIWASIKILIZA VIZURI UNAGUNDUA YAFUATAYO
1. Wanaongea kwa mihemko .
2. Wamedandia tu mada hawana ukiwabana sana hawana uthibitisho wowote.
3. Ni kawaida yao kuongea hovyo.
4. Hawana la kufanya ndio maana wameamua kuropoka tu.
5. Ni masikini wa fikra.
WASIKILIZE KWA UMAKINI SANA KISHA UKIJUA AKILI ZAO ZIKOJE AMUA KUWAPUUZA TU
Mwanasayansi Saul kalivubha
fikia ndoto zako.
UKIWASIKILIZA VIZURI UNAGUNDUA YAFUATAYO
1. Wanaongea kwa mihemko .
2. Wamedandia tu mada hawana ukiwabana sana hawana uthibitisho wowote.
3. Ni kawaida yao kuongea hovyo.
4. Hawana la kufanya ndio maana wameamua kuropoka tu.
5. Ni masikini wa fikra.
WASIKILIZE KWA UMAKINI SANA KISHA UKIJUA AKILI ZAO ZIKOJE AMUA KUWAPUUZA TU
Mwanasayansi Saul kalivubha
fikia ndoto zako.