Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Unakuta mtu sio Mme/mpenzi/wazazi au sio mtu wa karibu sana na wewe akipiga simu anapiga weee ,hivi huwezi jiongeza ukapiga simu Mara moja mtu hajapokea ukaacha na ukasubiri akutafute mwenyewe,basi itapigwa simu kama ndio hujisikii kupokea unapunguza sauti maana ni kelele,mpigie mtu Mara moja hajapokea acha tuma sms ,haunidai,hatuna biashara nawe kwanini upige sana simu na saa ingine ukipokea ni salam tu na kuulizana maswali ,inakera kweli kweli.
Alie na haki ya kupiga simu hata Mara mia ni Mme/mke/ mpenzi/wazazi ni watu wa muhimu sana labda na baadhi ya ndugu zako maana sio ndugu wote mtaongea sana kwa simu .
Mpenzi wangu ana haki ya kunitafuta muda wowote saa yoyote,atume sms muda wowote ana haki si mnajua tena laazizi mkali ini [emoji12] [emoji12] [emoji12] ,wazazi wangu lazima nipokee,kuna rafiki zangu kama watatu lazima nipokee wengine msipopokelewa msipigepige simu
Wengine wanapenda sana kuchart kwa sms basi atatuma sms siku kucha si mchart na wapenzi wenu bana
mi uzuri huwaambia nachoka kuchart bora nipige tuongee yaishe,mwingine nishamuambia hapa siwezi kila saa najibu sms ,sms zenyewe sio za Mpesa basi kero tupu
Wengine sasa hapa wanaudhi kama nini wanapiga WhatsApp call yaan jamani si andika tu sms tu tutaona tutajibu ,ukipokea ni salaam tu hakuna la maana zaidi anataka akusalimie si uandike tu ,watu tubadilike jamani hizo salaam andikeni najua sio Mimi tu naekereka wengi tu wanakereka na hii Tabia wanashindwa kusema,sio kila WhatsApp call utapokea
kuna wa hawa wa video call hawa sasa huwa nawakatia kabisa ,na wala sijibu
ni kero ndogo ndogo tu lakin zinakera ,mim kuna siku tu sipendi kuongea na simu za watu wengine zaidi ya laazizi,rafiki zangu wawili na mama yangu wengine sipokei maana sio lazima kupokea hatuna ishu za maana za kuongea
Basi huwaga nikikuta WhatsApp call halaf sio ya mtu ambae nampenda nasonyaaa na sipokei naendelea na safari zangu,nikikuta simu inapigwa halaf sio ambayo nataka nasonyaa msonyoo mrefu naendelea na mambo yangu,nikikuta sms ya salaam ntajitahidi kujibu lakin ukiendelea kunichatisha nakaa kimyaa
ndio hivyo nishasema hutaki pasuka
Pasaka Njema wanajf
Dinazarde[emoji8] [emoji8] [emoji8]
Alie na haki ya kupiga simu hata Mara mia ni Mme/mke/ mpenzi/wazazi ni watu wa muhimu sana labda na baadhi ya ndugu zako maana sio ndugu wote mtaongea sana kwa simu .
Mpenzi wangu ana haki ya kunitafuta muda wowote saa yoyote,atume sms muda wowote ana haki si mnajua tena laazizi mkali ini [emoji12] [emoji12] [emoji12] ,wazazi wangu lazima nipokee,kuna rafiki zangu kama watatu lazima nipokee wengine msipopokelewa msipigepige simu
Wengine wanapenda sana kuchart kwa sms basi atatuma sms siku kucha si mchart na wapenzi wenu bana
mi uzuri huwaambia nachoka kuchart bora nipige tuongee yaishe,mwingine nishamuambia hapa siwezi kila saa najibu sms ,sms zenyewe sio za Mpesa basi kero tupu
Wengine sasa hapa wanaudhi kama nini wanapiga WhatsApp call yaan jamani si andika tu sms tu tutaona tutajibu ,ukipokea ni salaam tu hakuna la maana zaidi anataka akusalimie si uandike tu ,watu tubadilike jamani hizo salaam andikeni najua sio Mimi tu naekereka wengi tu wanakereka na hii Tabia wanashindwa kusema,sio kila WhatsApp call utapokea
kuna wa hawa wa video call hawa sasa huwa nawakatia kabisa ,na wala sijibu
ni kero ndogo ndogo tu lakin zinakera ,mim kuna siku tu sipendi kuongea na simu za watu wengine zaidi ya laazizi,rafiki zangu wawili na mama yangu wengine sipokei maana sio lazima kupokea hatuna ishu za maana za kuongea
Basi huwaga nikikuta WhatsApp call halaf sio ya mtu ambae nampenda nasonyaaa na sipokei naendelea na safari zangu,nikikuta simu inapigwa halaf sio ambayo nataka nasonyaa msonyoo mrefu naendelea na mambo yangu,nikikuta sms ya salaam ntajitahidi kujibu lakin ukiendelea kunichatisha nakaa kimyaa
ndio hivyo nishasema hutaki pasuka
Pasaka Njema wanajf
Dinazarde[emoji8] [emoji8] [emoji8]