Kuna watu wagumu kuelewa

Kuna watu wagumu kuelewa

Dejane

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
50,587
Reaction score
71,492
Unakuta mtu sio Mme/mpenzi/wazazi au sio mtu wa karibu sana na wewe akipiga simu anapiga weee ,hivi huwezi jiongeza ukapiga simu Mara moja mtu hajapokea ukaacha na ukasubiri akutafute mwenyewe,basi itapigwa simu kama ndio hujisikii kupokea unapunguza sauti maana ni kelele,mpigie mtu Mara moja hajapokea acha tuma sms ,haunidai,hatuna biashara nawe kwanini upige sana simu na saa ingine ukipokea ni salam tu na kuulizana maswali ,inakera kweli kweli.
Alie na haki ya kupiga simu hata Mara mia ni Mme/mke/ mpenzi/wazazi ni watu wa muhimu sana labda na baadhi ya ndugu zako maana sio ndugu wote mtaongea sana kwa simu .

Mpenzi wangu ana haki ya kunitafuta muda wowote saa yoyote,atume sms muda wowote ana haki si mnajua tena laazizi mkali ini [emoji12] [emoji12] [emoji12] ,wazazi wangu lazima nipokee,kuna rafiki zangu kama watatu lazima nipokee wengine msipopokelewa msipigepige simu

Wengine wanapenda sana kuchart kwa sms basi atatuma sms siku kucha si mchart na wapenzi wenu bana
mi uzuri huwaambia nachoka kuchart bora nipige tuongee yaishe,mwingine nishamuambia hapa siwezi kila saa najibu sms ,sms zenyewe sio za Mpesa basi kero tupu

Wengine sasa hapa wanaudhi kama nini wanapiga WhatsApp call yaan jamani si andika tu sms tu tutaona tutajibu ,ukipokea ni salaam tu hakuna la maana zaidi anataka akusalimie si uandike tu ,watu tubadilike jamani hizo salaam andikeni najua sio Mimi tu naekereka wengi tu wanakereka na hii Tabia wanashindwa kusema,sio kila WhatsApp call utapokea

kuna wa hawa wa video call hawa sasa huwa nawakatia kabisa ,na wala sijibu
ni kero ndogo ndogo tu lakin zinakera ,mim kuna siku tu sipendi kuongea na simu za watu wengine zaidi ya laazizi,rafiki zangu wawili na mama yangu wengine sipokei maana sio lazima kupokea hatuna ishu za maana za kuongea

Basi huwaga nikikuta WhatsApp call halaf sio ya mtu ambae nampenda nasonyaaa na sipokei naendelea na safari zangu,nikikuta simu inapigwa halaf sio ambayo nataka nasonyaa msonyoo mrefu naendelea na mambo yangu,nikikuta sms ya salaam ntajitahidi kujibu lakin ukiendelea kunichatisha nakaa kimyaa

ndio hivyo nishasema hutaki pasuka

Pasaka Njema wanajf
Dinazarde[emoji8] [emoji8] [emoji8]
 
Wewe upo kama Mimi, Kuna jamaa ni ndugu yangu yani haipiti siku hajanipigia simu hadi kero. Ni kuuliza tu, mambo VP? Uko poa? Mvua inanyesha?, Sasa masuala ya mvua yanamhusu nini? Vitu vya kijinga jinga tu.
eheeee inakera wewe acha tu
 
Tatizo mkitafutwa msalimiwe mnakasirika msipotafutwa mnaona kama mna gundu mnzaanza kuzunguka kwa waganga kusafisha nyota walimwengu buana
wa kunitafuta yupo ambae lazima nipokee na nijibu sms hata akipiga video call napokea wengine no
 
Yan mm kuna huyo kikaragosi ananifukuzia huu mwaka wa 4 ni msumbufu hakat tamaa kazi yake kupiga sm kutuma sms sjibu hat miez lakin hachoki

Namblock lakin anabadilisha namba sjui watu wengine huwa mapopoma wanakera sana mtu hana ushirikiano anasumbua tu.
 
Yan mm kuna huyo kikaragosi ananifukuzia huu mwaka wa 4 ni msumbufu hakat tamaa kazi yake kupiga sm kutuma sms sjibu hat miez lakin hachoki

Namblock lakin anabadilisha namba sjui watu wengine huwa mapopoma wanakera sana mtu hana ushirikiano anasumbua tu.
hhhaaaa mi huwa nikichoka nablock namba mpya kunipigia,hatumi hata hela?
 
Back
Top Bottom