Wewe upo kama Mimi, Kuna jamaa ni ndugu yangu yani haipiti siku hajanipigia simu hadi kero. Ni kuuliza tu, mambo VP? Uko poa? Mvua inanyesha?, Sasa masuala ya mvua yanamhusu nini? Vitu vya kijinga jinga tu.
Daaah aiseeWewe upo kama Mimi, Kuna jamaa ni ndugu yangu yani haipiti siku hajanipigia simu hadi kero. Ni kuuliza tu, mambo VP? Uko poa? Mvua inanyesha?, Sasa masuala ya mvua yanamhusu nini? Vitu vya kijinga jinga tu.
Daaah aisee
Ndio sfa ya bnadamu hioTatizo mkitafutwa msalimiwe mnakasirika msipotafutwa mnaona kama mna gundu mnzaanza kuzunguka kwa waganga kusafisha nyota walimwengu buana
Ndio tabia yangu hiyoKero kwa wale wanaosalimia kisha inafatia nipe story
mambo,uko poa,za masiku,kheri lakini?mvua zinanyesha huko?
hawajambo ,nipe story
hapo anatuma kisms kimoja kimoja kila saa umjibu
Labda unafanya kazi mamlaka ya hali ya hewaWewe upo kama Mimi, Kuna jamaa ni ndugu yangu yani haipiti siku hajanipigia simu hadi kero. Ni kuuliza tu, mambo VP? Uko poa? Mvua inanyesha?, Sasa masuala ya mvua yanamhusu nini? Vitu vya kijinga jinga tu.