Kuna watu wakarimu dunia hii

Wanaume wa sikuhz wengi wachoyo unasafiri na mtu yuko busy kutafuna mavitu yke .mwenyew
Safari ijayo nitakukaribisha. Usibugie maana nikikupa juice ujue ina valeur au konyagi. Usije kupitiliza kituo bure au kumakia kwenye kejo yangu.
 
Haka ka method ntakatumia kwenye mwendo kasi wetu.

Ntanunua maji kilimanjro makubwa ntavizia nikae na kam dada ntamkaribisha namwambia sinywi mpaka aanze yeye kwanza akikataa namwambia nayamwaga..........

Wadada zetu wanavyojua kutumia fursa watakubali tu...
[emoji5][emoji5][emoji5]
 
Uyo mzee nimemzid kwa ukarim
 
Alikuwa anakuvizia mkuu ili ujae afanye yake...
 
Huo mwendokasi usipande Express! Ukipanda express utajikuta mmeshafika wakati haki ka experiment kako hakajafika hata robo[emoji2] [emoji2]
 
Binafsi nikikutana na mtu, nikimuangalia tu nina uwezo wa Ku guess his or her age Japo kuna watu wanantatanisha mf slow slow
Unamwongelea CAG wa sisiemu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…