Kuna watu wakarimu dunia hii

Vipi mkuu, alikupatia hela ya tax muda wa kushuka?

Halafu, hivi kwanini wanawake mnawaza kufanyiwa u gentleman tu, kwani nyie ni dhambi kufanya u gentlewoman kwa wanaume?
 
Ndio maana huwa mnaliwa hovyo hovyo nyie!
 
Vipi mkuu, alikupatia hela ya tax muda wa kushuka?

Halafu, hivi kwanini wanawake mnawaza kufanyiwa u gentleman tu, kwani nyie ni dhambi kufanya u gentlewoman kwa wanaume?
Ahahaha watoto Wa kike wanapenda kujaliwa au kukarimiwa
Kuna sehemu nipo nawafungulia sana milango wabebez Wa kituruki na kiarabu!! Tukikutana milangoni
 
Kuna mwenzako yeye alikaribishwa chocolate, zile snickers wakati anasafiri toka Arusha kwenda Dar.. Alizundika akiwa MNH na sumu kali mwilini. Sio karne ya kukubali vitu toka kwa stranger.
 
Naamini angefanya maamuz ya kwenda mbele kdgo kimaamuzi angefanikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…