Kuna watu wakatili kabisa, sasa unaanzaje kumuua mtu kama huyu?(i have got you baby to make feel alive)

Kuna watu wakatili kabisa, sasa unaanzaje kumuua mtu kama huyu?(i have got you baby to make feel alive)

Kasinja jr

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2017
Posts
1,034
Reaction score
1,812
yaan kila nikisikiliza huu wimbo na mzuka alotumia namlaani aliye muua huyu lucky dube




vile unawezaje kumuua mtoto wa dandu jaman



unamuuaje michael jackson jamani watu hamna utu

 
Wafuate walikoenda labda nako wanapga show za kibabe utatuletea majibu ucsahau kwenda na cm yako mkuu.
 
Back
Top Bottom