Kuna watu wakipata hela huwa wanahangaika sana

Kuna watu wakipata hela huwa wanahangaika sana

Nyuki Mdogo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2021
Posts
4,134
Reaction score
10,644
imagine hii ni choo

Peshizi jamani
FB_IMG_1694255202214.jpg
a
 
Sioni shida hapo,we unatumia choo Gani mpaka ukianzishie uzi hiki, ila nakubali pesa za kupata haraka haraka au za Dili zinaleta ulimbukeni sana, kuna mnada Nilienda bank walikua wanauza nyumba ya mtu... Aisee master bedroom Kuna vyoo viwili... Yaani choo na bafu, afu choo na bafu tena kwenye chumba hikohiko.. mpaka Leo sijawahi kuelewa mantiki yake
 
Sioni shida hapo,we unatumia choo Gani mpaka ukianzishie uzi hiki, ila nakubali pesa za kupata haraka haraka au za Dili zinaleta ulimbukeni sana, kuna mnada Nilienda bank walikua wanauza nyumba ya mtu... Aisee master bedroom Kuna vyoo viwili... Yaani choo na bafu, afu choo na bafu tena kwenye chumba hikohiko.. mpaka Leo sijawahi kuelewa mantiki yake
Hataki kunya huku mumewe anaona. Mkibanwa kwa pamoja.
 
Back
Top Bottom