Action and Reaction
JF-Expert Member
- Oct 16, 2021
- 1,438
- 1,496
nakuja kupima DNA yako...Mimi ni Yanga Damu daima
Kuishangilia Al hilaly ni π= 22/7Vipi mtoa mada, na wewe umepata mwaliko wa kwenda kuishangilia Al Hilal? Wenzako wanachangamkia fursa huko.
Ila na wababe wenu nao baadhi wakijitolea kwenda kuwapokea wageni pale airport, mnanuna! Shida iko wapi hasa?Kuishangilia Al hilaly ni π= 22/7
The Lion 🦁 hana tabia ya kuwapokea wageni walaaa!Ila na wababe wenu nao baadhi wakijitolea kwenda kuwapokea wageni pale airport, mnanuna! Shida iko wapi hasa?
Na kwenye kuwashangilia hao wageni, imekaaje! Kiasi cha kutaka kulipiwa mpaka tiketi na gharama nyingine zote! eti mkawashangilie tu waarabu wakipambana na mabingwa wenu wa ligi kuu ya NBC!!The Lion 🦁 hana tabia ya kuwapokea wageni walaaa!
Waende tu wakaipokee Agosto, mbona nyingi tu zilipokelewa lakini zikafa?Ila na wababe wenu nao baadhi wakijitolea kwenda kuwapokea wageni pale airport, mnanuna! Shida iko wapi hasa?
Au kwa maana nyungine ni 3.14Kuishangilia Al hilaly ni π= 22/7