GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hawawezi kupiga kelele kwa sababu walishapiga mtu 7 hapo msimu uliopita tuuLakini wenye Kuujua wala hawajapiga Kelele na wapo kawaida sana utadhani siyo Wao waliotoa Kichapo cha Kishalubela / Kitakatifu cha Goli 6 kwa 0 Jana kwa Mkapa dhidi ya Wabotswana waliosaidiwa Kuroga na Kuvalishwa Majini na Majini Chura Mafuriko Daima FC kule Baharini Kwao wanakoyafuga mno.
Hawa mashabiki mbumbumbu ndo wanashinda hapa jukwaani kulaumu wachezaji, coaches, na viongozi kwamba hawafai. Hawa mashabiki ndio walimwita Ntibazokiza mzee, mhujumu team, leo wanashangilia!Lakini wenye Kuujua wala hawajapiga Kelele na wapo kawaida sana utadhani siyo Wao waliotoa Kichapo cha Kishalubela / Kitakatifu cha Goli 6 kwa 0 Jana kwa Mkapa dhidi ya Wabotswana waliosaidiwa Kuroga na Kuvalishwa Majini na Majini Chura Mafuriko Daima FC kule Baharini Kwao wanakoyafuga mno.
Sifa mojawapo ya shabiki uchwara.NAona umejitia dole halafu unajinusa.
Nyie si ndio daily mlikua mnainga simba?
Ugumu wa Kundi lako ulikua kwenye Nin Na urahisi wa Makundi Mengine ulikua kwenye Nin au nyiny wezetu Kundi lenu wachezaji wa timu pizani kwenu walikua ni MajiniAcha porojo wewe,umecheza na nani?
Msimu uliopita uliwafunga Horoya,
Mwaka huu kibonde Jwaneng Galaxy,yaani ni kupiga bomu mochwari.
Lakini wanaume msimu huu tumekutana na kundi gumu usipime,kundi ambalo hakuna aliyekuwa na uhakika wa kuingia quarter final hata kwa asilimia ishirini.
Lakini tumetoboaaaa!!
Sasa Yanga hii itawashangaza watu kama ilivyokuwa msimu uliopita kufika fainali shirikisho.
Wapo ambao hatua ambayo huwa wanaishia inajulikana,wapewe tu mwanaume Mamelody awapige (nyuma na mbele) yaani nyumbani na ugenini biashara yao itaishia hapo.
Katika wabovu lazima apatikane mwenye nafuu, mmempata kibonde wenu katika wale wagonjwa 4 kwenye kundi Lenu mnakuja kutupigia kelele hapa, mngekuwa kwenye kundi la wanaume ata point moja msingeipata, Kama mmelala uwanjani mnamloga ata jwaneng timu iliyokwishajifia mnapata wapi ujasiri wa kutamba!Lakini wenye Kuujua wala hawajapiga Kelele na wapo kawaida sana utadhani siyo Wao waliotoa Kichapo cha Kishalubela / Kitakatifu cha Goli 6 kwa 0 Jana kwa Mkapa dhidi ya Wabotswana waliosaidiwa Kuroga na Kuvalishwa Majini na Majini Chura Mafuriko Daima FC kule Baharini Kwao wanakoyafuga mno.