J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Aug 26, 2024 Thread starter #21 CHIEF PRIEST said: Wasema wewe,mimi nimesema Tundu Lissu kutangaza nia imewavuruga wanaccm wengi kuanzia mwenyekiti wao Taifa,hiyo ya ugombea wa kudumu ni tafsiri ya hicho kilevi unachofakamia sasa hivi. Click to expand... 2020 Nyalandu alidai Tundu Lisu alikwiba kura zake za Maoni ππ
CHIEF PRIEST said: Wasema wewe,mimi nimesema Tundu Lissu kutangaza nia imewavuruga wanaccm wengi kuanzia mwenyekiti wao Taifa,hiyo ya ugombea wa kudumu ni tafsiri ya hicho kilevi unachofakamia sasa hivi. Click to expand... 2020 Nyalandu alidai Tundu Lisu alikwiba kura zake za Maoni ππ
econonist JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 20,189 Reaction score 29,663 Aug 26, 2024 #22 johnthebaptist said: 2020 Nyalandu alidai Tundu Lisu alikwiba kura zake za Maoni ππ Click to expand... Sasa Nyalandu ndio ujinga gani wa kumlinganiisha na Lissu?
johnthebaptist said: 2020 Nyalandu alidai Tundu Lisu alikwiba kura zake za Maoni ππ Click to expand... Sasa Nyalandu ndio ujinga gani wa kumlinganiisha na Lissu?
CHIEF PRIEST JF-Expert Member Joined Dec 13, 2021 Posts 11,635 Reaction score 21,347 Aug 26, 2024 #23 johnthebaptist said: 2020 Nyalandu alidai Tundu Lisu alikwiba kura zake za Maoni ππ Click to expand... Nyalandu kura hizo alizipata wapi wakati alikuwa wa kuja tu Chadema? Unazidi kuhamisha magoli tu,umeshalewa sasa kalale uamke na akili mpya kesho.
johnthebaptist said: 2020 Nyalandu alidai Tundu Lisu alikwiba kura zake za Maoni ππ Click to expand... Nyalandu kura hizo alizipata wapi wakati alikuwa wa kuja tu Chadema? Unazidi kuhamisha magoli tu,umeshalewa sasa kalale uamke na akili mpya kesho.
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Aug 26, 2024 Thread starter #24 econonist said: Sasa Nyalandu ndio ujinga gani wa kumlinganiisha na Lissu? Click to expand... Wewe ulipiga kura za maoni?
econonist said: Sasa Nyalandu ndio ujinga gani wa kumlinganiisha na Lissu? Click to expand... Wewe ulipiga kura za maoni?