Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wengi watakua wachagga, ndo wenye fikra za kupata mali kupitia maafa ya wengine.Haya ndio maneno, kwamba kuna watu wanauza mamia ya mamilioni na kwamba bado yako humo. Hii inachangia wingi wa watu hapo saiti.
Jamani, tutumie digital payments, hata likitokea janga, fedha inabaki hewani tu
Unawajua TRA wewe UVCCM?Haya ndio maneno, kwamba kuna watu wanauza mamia ya mamilioni na kwamba bado yako humo. Hii inachangia wingi wa watu hapo saiti.
Jamani, tutumie digital payments, hata likitokea janga, fedha inabaki hewani tu
Sidhani kama Kuna Cha maaana sana kilichoibiwa bn hivi jengo limeanguka saa mbili Kuna mauzo gani ya maaana yamefanyika? Jengo lenyewe kwa sehemu kubwa ilikua kama store
We jamaa wachaga & wakatoliki kwenye maisha yako hawana jemaHao wengi watakua wachagga, ndo wenye fikra za kupata mali kupitia maafa ya wengine.
Wapi nimetaja wakatoliki mkuu? Au hutaki jf wawaguse hao watu mkuu?mimi na comment tu kama member wengine.We jamaa wachaga & wakatoliki kwenye maisha yako hawana jema
Daa! Sasa itakuwaje?Haya ndio maneno, kwamba kuna watu wanauza mamia ya mamilioni na kwamba bado yako humo. Hii inachangia wingi wa watu hapo saiti.
Jamani, tutumie digital payments, hata likitokea janga, fedha inabaki hewani tu
Ngoja tuone ila labda usiku mchana watu wanatoka mikono tupuWatu walilaza mauzo ndani ya ofisi, na wengine walianza kuuza asubuhi
Mkuu wanavyosema kuwa inasadikika kuwa ndani kuna watu wengi bado, ni kweli?Hatujafungua biashara leo siku ya tano, kwa sababu tuko karibu na tukio energy limefungwa. Hao wanaodai kwamba kuna watu.wanaiba nawashangaa sana...
Nadhani waokozi wengine wasio waaminifu walizama kupiga peche/ kuiba.Haya ndio maneno, kwamba kuna watu wanauza mamia ya mamilioni na kwamba bado yako humo. Hii inachangia wingi wa watu hapo saiti.
Jamani, tutumie digital payments, hata likitokea janga, fedha inabaki hewani tu
Bado wanaendelea kuokoa, sio.kazi rahisi jana tu jengo liloendelea kushuka. Na eneo Zima lina harufu kali Balaa hakuna aliyefungua Duka na Barbara zimefungwaMkuu wanavyosema kuwa inasadikika kuwa ndani kuna watu wengi bado, ni kweli?