Kuna watu wamekaa eneo la ajali Kariakoo wakiamini kwamba wanaweza "kuokota" Mauzo ya wafanyabiashara waliokuwa jengoni

Kuna watu wamekaa eneo la ajali Kariakoo wakiamini kwamba wanaweza "kuokota" Mauzo ya wafanyabiashara waliokuwa jengoni

Bado wanaendelea kuokoa, sio.kazi rahisi jana tu jengo liloendelea kushuka. Na eneo Zima lina harufu kali Balaa hakuna aliyefungua Duka na Barbara zimefungwa

Haikuwa kazi rahisi, must have
must have been so hard. .
Namsikiliza moja ya wafanyabiashara wakubwa kariakoo anaongea kupitia wasafi..insta.
Anasema KARIAKOO huko chini kuna mashimo marefu kama Mererani, yaani yanavuka hata baadhi ya barabara
 
Namsikiliza moja ya wafanyabiashara wakubwa kariakoo anaongea kupitia wasafi..insta.
Anasema KARIAKOO huko chini kuna mashimo marefu kama Mererani, yaani yanavuka hata baadhi ya barabara
Ndio yalichimbwa Nathaniel kipindi cha ujerumani. Kariakoo kuna Mashimo unashuka na ngazi...

Kuna siku niliona mtu kadumbukia acha yani huko chini ni Giza tu. Sewage hizi Nathaniel zilichimbwa zamani sana.

Ukidumbukia walahi hutoki
 
Ndio yalichimbwa Nathaniel kipindi cha ujerumani. Kariakoo kuna Mashimo unashuka na ngazi...

Kuna siku niliona mtu kadumbukia acha yani huko chini ni Giza tu. Sewage hizi Nathaniel zilichimbwa zamani sana.

Ukidumbukia walahi hutoki
Ukaguzi wa kina unahitajika haraka
 
Haya ndio maneno, kwamba kuna watu wanauza mamia ya mamilioni na kwamba bado yako humo. Hii inachangia wingi wa watu hapo saiti.

Jamani, tutumie digital payments, hata likitokea janga, fedha inabaki hewani tu
Yawezekana uyasemayo ni sahihi maana akili za watanzania wengi ni mgando
 
Back
Top Bottom