Kuna watu wana bahati doh

Kuna watu wana bahati doh

Wewe kama huko kichwani kwangu tu, Lakini Mimi Nina 4.5M wazo langu ni vifaa vya simu. Changamoto ni wateja na vifaa kukaa haviuziki.
Vifaa vya simu mzunguko wake sio mzuri hasa vile vya bei kubwa mfano accessories za iphone 12 kwenda juu au galaxy s21 kwenda juu ni changamoto wamiliki wa simu hizi ni wachache sijajua kwa simu nyinginezo (infinix na tecno)
 
Jichanganye ma mashuwa,acheni kungangania makidimbwi huko,sjui kitambaa cheupe Juliana mkitegemea mtapata connection

Ova

Mabosi huwakuti kitambaa cheupe, wako kempisky na sehemu nyingine za hadhi yao
 
Back
Top Bottom