Kuna watu wana roho mbaya..!

Kuna watu wana roho mbaya..!

kanyela mumo

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2016
Posts
2,034
Reaction score
2,117
Kuna jamaa alivamia chakula, kapiga tonge la kwanza watu wakamwalia, kapiga la pili watu wakaguna mmmmhh..!

Akapiga tonge la tatu mshikaji mmoja jemedali akamkung'utisha mkono kwenye sahani la ubwabwa, kisha akaulamba ule mkono wa jamaa mpaka ukawa mweupe peee hata harafu ya mchuzi ukawa hauna., kisha ule mkono wa jamaa akausugua chini sana ukajaa mchanga kisha akamwambia kama wewe mwanaume kanawe uje tena uone..!

Wewe una unamkumbuka jamaa gani mwenye roho mbaya uliepata kumshuhudia?
 
Kwa raia wa arusha wanaoifahamu pin point kipindi jina Le manyata linabamba nilienda pale bhn na mim nikaondoe vistress. Sasa kufika nikaambiwa mimi bado chalii siruhusiwi kuingia. Nikalazimisha kuingia. Kuna baunsa mmoja alikuwa anaitwa bachuu kama sikosei.

Aseeh alinipiga teke la mbavu kudadeki huyo jamaa asikatize anga zangu walai.
 
Kwa raia wa arusha wanaoifahamu pin point kipindi jina Le manyata linabamba nilienda pale bhn na mim nikaondoe vistress. Sasa kufika nikaambiwa mimi bado chalii siruhusiwi kuingia. Nikalazimisha kuingia. Kuna baunsa mmoja alikuwa anaitwa bachuu kama sikosei.

Aseeh alinipiga teke la mbavu kudadeki huyo jamaa asikatize anga zangu walai.
Pole mkuu.mpaka nimecheka.
Mimi nakumbuka enzi hizo nimeenda kuanza form one sasa muda wa kwenda kufyeka nyasi kwa kutumia kwanja kuna jamaa likaniambia niondoe umande ili lipite nikagoma.Bwaaaana wee likaniita nilipoenda niliamriwa kuinama.ile najishauri tu lilitua bonge la Konzi babu kubwa nilishangaa wote mimi na lile jamaa la form three tumeanguka kwenye nyasi zenye umande.Jamaa lilikuwa na roho mbaya sijapata kuona.Kweli form one enzi hizo ilikuwa ni mateso.nikikumbuka nahisi kichwani bado kuna nundu ya konzi.maana nilikung'utwa si mchezo.Shikamoo form nyoya[emoji15] [emoji15]
 
Kwa raia wa arusha wanaoifahamu pin point kipindi jina Le manyata linabamba nilienda pale bhn na mim nikaondoe vistress. Sasa kufika nikaambiwa mimi bado chalii siruhusiwi kuingia. Nikalazimisha kuingia. Kuna baunsa mmoja alikuwa anaitwa bachuu kama sikosei.

Aseeh alinipiga teke la mbavu kudadeki huyo jamaa asikatize anga zangu walai.
Haa haa haa aiseee mkuu
Naona utang"oa meno na playas
Bla ganz
 
Pole mkuu.mpaka nimecheka.
Mimi nakumbuka enzi hizo nimeenda kuanza form one sasa muda wa kwenda kufyeka nyasi kwa kutumia kwanja kuna jamaa likaniambia niondoe umande ili lipite nikagoma.Bwaaaana wee likaniita nilipoenda niliamriwa kuinama.ile najishauri tu lilitua bonge la Konzi babu kubwa nilishangaa wote mimi na lile jamaa la form three tumeanguka kwenye nyasi zenye umande.Jamaa lilikuwa na roho mbaya sijapata kuona.Kweli form one enzi hizo ilikuwa ni mateso.nikikumbuka nahisi kichwani bado kuna nundu ya konzi.maana nilikung'utwa si mchezo.Shikamoo form nyoya[emoji15] [emoji15]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Af sasa ukute alitumia vidole viwili tu
 
Pole mkuu.mpaka nimecheka.
Mimi nakumbuka enzi hizo nimeenda kuanza form one sasa muda wa kwenda kufyeka nyasi kwa kutumia kwanja kuna jamaa likaniambia niondoe umande ili lipite nikagoma.Bwaaaana wee likaniita nilipoenda niliamriwa kuinama.ile najishauri tu lilitua bonge la Konzi babu kubwa nilishangaa wote mimi na lile jamaa la form three tumeanguka kwenye nyasi zenye umande.Jamaa lilikuwa na roho mbaya sijapata kuona.Kweli form one enzi hizo ilikuwa ni mateso.nikikumbuka nahisi kichwani bado kuna nundu ya konzi.maana nilikung'utwa si mchezo.Shikamoo form nyoya[emoji15] [emoji15]
Haha pole sana.

Mim ninazo nyingi aseh.

Kuna moja nilikuwa morogoro sikumbuki kulikuwa na show ya namna gani pale Jamhuri sijui fiesta 2009/10 sikumbuki. Basi bhana show ikaendlea hadi saa 9 asubuhi. Sasa mimi nikawa nakatisha pale DTB niingie kituo cha sokoni nitafute usafiri niwahi kulala . Ile nakunja kona ilitokea cru ya machalii kama 10 hiv aseeh walinishambulia kinoma. Wengine vuta Shati wakanivua buti moja. Ila nikaing'ang'ania nikafanikiwa kuchomoka nilipotea hizo mbio mbuni haoni.

Chaliake kufika gheto najiangalia nina nundu kama maksai. Hadi leo kwa hilo beef waluguru nawapimiaga tu. Na hao jamaa mungu anawaona
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Aiseeee hii nmeipitia sana
Af unakuta kuangaliw video picha
N 50
Mm kwetu zaid uswazi, nimechungulia sana nimevuliwa hadi shati coz napenda muvi sana ila nimefika mbali now wanangu hawatapitahuko
 
Haha pole sana.

Mim ninazo nyingi aseh.

Kuna moja nilikuwa morogoro sikumbuki kulikuwa na show ya namna gani pale Jamhuri sijui fiesta 2009/10 sikumbuki. Basi bhana show ikaendlea hadi saa 9 asubuhi. Sasa mimi nikawa nakatisha pale DTB niingie kituo cha sokoni nitafute usafiri niwahi kulala . Ile nakunja kona ilitokea cru ya machalii kama 10 hiv aseeh walinishambulia kinoma. Wengine vuta Shati wakanivua buti moja. Ila nikaing'ang'ania nikafanikiwa kuchomoka nilipotea hizo mbio mbuni haoni.

Chaliake kufika gheto najiangalia nina nundu kama maksai. Hadi leo kwa hilo beef waluguru nawapimiaga tu. Na hao jamaa mungu anawaona
Mwanaume wa Dar, utakimbiaje msala kidume mzima pambana
 
Mm kwetu zaid uswazi, nimechungulia sana nimevuliwa hadi shati coz napenda muvi sana ila nimefika mbali now wanangu hawatapitahuko
Haa haa haa aisee hata me bla
Movie sion njia kabsa

Wanao watazkuta tu nyumbani
 
Back
Top Bottom